Asante. Ndio nimejifunzaPole best mimi huwa sifungui uzi nikiona nipo sehemu ya watu wengi
Uzi wa ushuzi huu..kwa hiyo A***les hamkosekani piaDuh wanawake tafuteni chumba nitalipa
Hao watu uselessMjadala mkali juu ya hali ya masoko ulikatizwa ghafla kwa harufu kali ya ushuzi.
Kadhia hiyo haikutokea sokoni ama mtaani, bali ni kwenye ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Homa Bay, Magharibi kwa Kenya.
"Mheshimiwa Spika, mmoja wetu hapa amechafua hali ya hewa," Bw Julius Gaya anaripotiwa kupiga ukelele akiwa kwenye kikao cha Bunge.
Swali la hovyo hili. Kama mtoto wa siku moja anajamba je mtu wa miaka hamsini?Ushuzi? Duh! Kumbe Kila Mtu anajamba? kuna watu kwa haiba yao wanaonekana hawajambi !
Mnaanza kuongea mambo ya siri hadharani, eti nimekumiss mara nataka kuonana na wewe, duh wapi Makonda?Uzi wa ushuzi huu..kwa hiyo A***les hamkosekani pia
We Mkenya umetafuna mirungi bila kula tatizo liko wapi?Mnaanza kuongea mambo ya siri hadharani, eti nimekumiss mara nataka kuonana na wewe, duh wapi Makonda?
Mnaongea mambo ya chumbani eti nimekumiss bestie. Hapa Makonda afanye uchunguzi abaini ikiwa kuna jambo la ziadaWe Mkenya umetafuna mirungi bila kula tatizo liko wapi?
Ni utani tu dada usilieWe Mkenya umetafuna mirungi bila kula tatizo liko wapi?
Hahahaha najua nami ni utani nduguNi utani tu dada usilie