Ushuzi waharibu kikao cha bunge la Kenya

Hao watu useless
 
Ushuzi? Duh! Kumbe Kila Mtu anajamba? kuna watu kwa haiba yao wanaonekana hawajambi !
Swali la hovyo hili. Kama mtoto wa siku moja anajamba je mtu wa miaka hamsini?
 
Mnaanza kuongea mambo ya siri hadharani, eti nimekumiss mara nataka kuonana na wewe, duh wapi Makonda?
We Mkenya umetafuna mirungi bila kula tatizo liko wapi?
 
Hii story nilidhani ni uongo hadi nilipoiona mwenyewe BBC..ama kweli Wakenya mmeshindikana..hv mnakwama wapi. Hadi vitu vidogo kama kujamba ndani ukumbi bunge mnataka iwe habari dunia mzima? Au ndiyo katika kuifanya nchi yenu iwe maarufu?
 
pengine ni mheshimiwa gavana aliamua kupuliza baraka zake hewani ili kila anusaye apate baraka
 
hahahahaha ss kama wabunge wa keny wana waza mishahara mikubwa tu kwann wasiachie mashuzi uko mjengoni...ndio maana yule mwengine akawaza kuwapiga watz na wachina
 
Lakini jamani kuna mazingira huwa inakera sana ,kuna ushuzi unanuka sana.Sasa sijui tufanyeje maana hata anaejamba si kwamba anapenda, ni kwamba anaishukuru nature.Na ukweli kiubana ushuzi nako si jambo la kiafya sana,kunaumiza

Basi ni changamoto tu
 
Kule Turkana, Pokoti raia wanakufa njaa; huku Nairob kwrnye kikao baba mmoja anachafua hewa kwa kuvimbiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…