Usiache kula karanga kamwe

Usiache kula karanga kamwe

Kuhusu kula Karanga na kupata choo lakini au kuendesha INA wezekana unakula Karanga zisizokuwa safi jaribu kuziosha ikiwezekana na maji ya moto ili Kuwa na vijidudu pia kula wastani wa kiganja kimoja kwa Siku, kwa kuongezea Faida Nyingine ya kula Katanga INA let's afya ya Moyo na kukukinga na ugonjwa wa kupooza mwili
Ulaji wa karanga zisizo safi (chafu) au zilizoharibika kwa sumukuvu fangas wenye sumu (Aflatoxins) ni hatari kwani unajiweka katika hatari ya 1. Kuharisha 2. Kupata cancer.
 
Daaah wakuu ,karanga mbichi nakula sanaa na napendelea sana kula,ilaa tatizo langu nikila sana, lanzima niende chooni,na napata choo kilaini sanaa mixture kuendesha..
Nimenunua pakiti za karanga zilizosagwa,ziwekwe kwenye mboga,nipate tiba ya constipation,hope itanisaidia.
 
JE, UNAFAHAMU FAIDA ZA KARANGA KWENYE UBONGO WA BINADAMU.

NDIO UBONGO

HII NI SIRI ILIYOFICHIKA KWA MUDA SASA

FAIDA ZA KARANGA KWENYE MWILI WA BINADAMU NI PANA SANA

Karanga zina faida kadhaa kwa afya ya ubongo. Na hizi 👇👇ni chache 🤌🤏kati ya nyingi;

1. Lishe bora
Karanga zina protini, nyuzinyuzi, na mafuta yenye afya kama asidi ya oleik, ambayo inaweza kusaidia kutoa nishati ya utambuzi na kuboresha utendaji wa ubongo.

2. Vitamini na madini
Karanga zina vitamini na madini muhimu kama vitamini E na folate, ambavyo vinaweza kusaidia kulinda seli za ubongo na kukuza afya ya akili.

3. Antioxidants
Karanga zina antioxidants ambazo zinaweza kusaidia kulinda ubongo dhidi ya uharibifu unaosababishwa na radicals bure.

4. Kupunguza hatari ya magonjwa ya ubongo
Ulaji wa mara kwa mara wa karanga unaweza kupunguza hatari ya magonjwa ya ubongo kama vile Alzheimer's na Parkinson's.

5. Kiboreshaji cha kumbukumbu
Inaaminika kuwa karanga zinaweza kusaidia kuimarisha kumbukumbu na utendaji wa ubongo kwa ujumla.

Share kwa wote🙏
 
Anasemea karanga zinalsta mawe kwenye figo ni muongo sana aiseee..

Mimi nakula sana karanga ila sanassna ni za kukaangwa..
 
JE, UNAFAHAMU FAIDA ZA KARANGA KWENYE UBONGO WA BINADAMU.

NDIO UBONGO

HII NI SIRI ILIYOFICHIKA KWA MUDA SASA

FAIDA ZA KARANGA KWENYE MWILI WA BINADAMU NI PANA SANA

Karanga zina faida kadhaa kwa afya ya ubongo. Na hizi 👇👇ni chache 🤌🤏kati ya nyingi;

1. Lishe bora
Karanga zina protini, nyuzinyuzi, na mafuta yenye afya kama asidi ya oleik, ambayo inaweza kusaidia kutoa nishati ya utambuzi na kuboresha utendaji wa ubongo.

2. Vitamini na madini
Karanga zina vitamini na madini muhimu kama vitamini E na folate, ambavyo vinaweza kusaidia kulinda seli za ubongo na kukuza afya ya akili.

3. Antioxidants
Karanga zina antioxidants ambazo zinaweza kusaidia kulinda ubongo dhidi ya uharibifu unaosababishwa na radicals bure.

4. Kupunguza hatari ya magonjwa ya ubongo
Ulaji wa mara kwa mara wa karanga unaweza kupunguza hatari ya magonjwa ya ubongo kama vile Alzheimer's na Parkinson's.

5. Kiboreshaji cha kumbukumbu
Inaaminika kuwa karanga zinaweza kusaidia kuimarisha kumbukumbu na utendaji wa ubongo kwa ujumla.

Share kwa wote🙏
Mkuu utakuwa umelima sana karanga sio
 
Daaah wakuu ,karanga mbichi nakula sanaa na napendelea sana kula,ilaa tatizo langu nikila sana, lanzima niende chooni,na napata choo kilaini sanaa mixture kuendesha..
Ni kutokana na mafuta yake
 
Daaah wakuu ,karanga mbichi nakula sanaa na napendelea sana kula,ilaa tatizo langu nikila sana, lanzima niende chooni,na napata choo kilaini sanaa mixture kuendesha..
  • Unakula zilizooza.
  • Unakula zilizo na fungus
Suluhisho:
  1. Kula kalanga zenye afya
  2. Kula kalanga zilizokaangwa
 
Back
Top Bottom