Usiamini kila unachoambiwa na mwanamke,suala hili limenifedhehesha sana

Usiamini kila unachoambiwa na mwanamke,suala hili limenifedhehesha sana

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha, wewe jamaa bana kwani ndo umewajua baada tu ya hilo tukio
 
Tokea hapo hamuaminiani hadi unavaa condom...

Bora hata kakuambia umependeza, je angekuambua kwa nini usitumie aina fulani ni nzuri zaidi wakati hujawahi kutumia nae hiyo aina anayoitaja hata siku moja...


Cc: mahondaw
 
Hahahahahaha! Ungevaa na kichwani kabisa mkuu, au ulikuwa nayo moja tu?

Halafu ukute ulivyoambiwa ulitabasamu kweli kwakuwa ulikuwa unaongozwa na halmashauri ya kichwa kidogo, baada ya kukaa ukatulia akili ikarudi makao makuu ndio umekuja huku...

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tokea hapo hamuaminiani hadi unavaa condom...

Bora hata kakuambia umependeza, je angekuambua kwa nini usitumie aina fulani ni nzuri zaidi wakati hujawahi kutumia nae hiyo aina anayoitaja hata siku moja...


Cc: mahondaw
Mkuu hapo ningebaki na maswali mengi kuliko majibu
 
Tokea hapo hamuaminiani hadi unavaa condom...

Bora hata kakuambia umependeza, je angekuambua kwa nini usitumie aina fulani ni nzuri zaidi wakati hujawahi kutumia nae hiyo aina anayoitaja hata siku moja...


Cc: mahondaw
hahahahahahaha mkuu hii kali itakuwa ilikukuta nini?
 
🙂🙂🙂🙂🙂 Huenda aliona umeivaa kimadoido mkuu hahaha.....iliwahi kunikuta hiyo japo nilichukulia utani nikamwambia na wewe umependeza ulivonyoa kipara basi tukarushiana vimito shughuli ikaendelea take it simple
 
Nimeacha kuwaamini wanawake kabisa maana juzi nilikuwa chumbani na mpenzi wangu nikavua nguo zote na yeye akavua na baada ya hapo nikavaa kondomu.Ila sikuamini alichoniambia na ndio hapo ukawa mwisho wangu kumuamini mwanamke kabisa maisha yangu.

Wakuu naandika hapa kwa masikitiko makubwa sana baada ya mimi kubaki na kondomu tu nimeivaa halafu akaniambia "Baby umependeza"

Wakuu sikuwahi kudhani katika maisha yangu kuwa kondomu inaweza kumpendeza mtu na kusifiwa kabisa kuwa nimetoka chicha.

Nasisitiza kuwa sijaipokea sifa yake na sihitaji kuisikia na sitomwamini tena.
Dah amuishiwe maluweluwe
 
Back
Top Bottom