Usianze kuwatajia madaktari ugonjwa... Hawapendi

Usianze kuwatajia madaktari ugonjwa... Hawapendi

Mkuu, inakuwaje unaumwa wewe, then "unamsaidia" daktari, nilitegemea kusikilizwa hasa ndiyo kuna umuhimu kabla ya vipimo(maana magonjwa mengine yana epukika, mengine ni ya kudumu, n.k..lakini kama nia ingekuwa "kusaidia" ingekuwa ujisikiapo dalili unaenda Maabara kupima tu na kununua dawa.

Nalijua hilo ila Ma Dokta wa Bongo wengi wao unaweza kufa na ugonjwa ingawa kila siku unaenda Hospital:

Akikuandikia BS na Majibu yakaja Negative: Utasikia huo utakuwa uchovu tu nenda kapumzike. Hivi kweli mwanaume kwenda hospital ujue nipo serious, sasa unapokosa Malaria tuangalie cha ziada.
 
Mkuu Zamaulid tatizo langu ninalo siku nyingi nikimpenda mwanamke huwa ninamuonyesha kwa vitendo na

yeye huyo mwanamke huwa hanionyeshi kuwa ananipenda. niliwahi kumuuliza mke wangu siku moja tupo kitandani.Nilimwambia

Mke wangu ninakupenda lakini wewe kwanini hunipendi? Alinijibu hivi na mimi pia ninakupenda lakini sikuonyeshi kama ninakupenda

utapata kichwa. Haa nilishangaa sana, katika ukoo wetu Marehemu Mama yangu alikuwa anampenda Marehemu Dingi wangu huku

akimuonyesha mapenzi lakini dingi wangu hakuwa anamuonyesha mapenzi mama yangu ingawa Dingii wangu alikuwa anampenda

Mama yangu. Sasa itakuwa mimi nimerithi kwa marehemu Mama yangu mkuu?
ok,hilo litakuwa ni tatizo la kurithi,na kwa maelezo hayo hata watoto wako watakuwa na hilo tatizo hapo baadaye,tatizo hilo huwapata watu waaminifu na wamchao Mungu!nitakupatia tiba kwa njia ya maombi.!
 
Historia ya tatizo la afya ndio kitu kinachowafanya madokta wengi kuona kama wanafundishwa kazi na wagonjwa. Lakini, ukweli unabaki kuwa historia ya tatizo ni muhimu sana kwenye matibabu, regardless jinsi mgonjwa atavyoielezea. MUHIMU ni madokta kupunguza UMUNGU na kuelewa mapungufu ya wagonjwa ktk kujieleza.
 
Kwa kweli mimi huwa nakasirika sana, na akijifanya mbishi namwandikia dawa kadri alivyosema na mwacha. Coz kusema hivi unamislead at the end of the day visit kibao kumbe tatizo ni jingine

taaluma yako HUITENDEI HAKI,,,,
 
Mzizimkavu,eti njia bora ya uzazi wa mpango ni hipi naombba ufafanuzi na athari zaki,kondom isiweke hapo
Mkuu Adharusi Njia nzuri ya uzazi ni kukwepa siku zile za hatari ya kupata mimba. Angalia chini hapa chaguwa unayoitaka mojawapo.


Karibuni kwenye ukurasa huuu mpya tujadili na kuongelea kwa undani zaidi

kuhusu njia zinazoweza kutumiwa na wanawake, wasichana kuzuia ujauzito. Karibuni sana.

Nilitaka kusema njia zitumikazo kwa uzazi wa mpango. Ila kuna wengi wengineo
ambao wako single kwa uchaguzi wao wa maisha, wanasubiri kuolewa, wako masomoni etc.
Kwa hiyo nikaona "uzazi wa mpango" si sahihi kutumia sababu bado hawajafikia kupanga uzazi. ..

Anyway kama wote tujuavyo njia bora kuzuia ujauzito ni moja tu Kutokufanya sex(mapenzi)
Ila njia hii ni wachache sana tena sana wanaoifuata. Ndio nikaona nianzishe uzi huu tujuzane na kufundishana
njia nyingine nyingi, na zipi za kutumia na kwa muda gani na ni nini madhara ya njia hizo za kuzuia ujauzito.

1. Condom.
Condom ni njia ya kwanza kabisa ninayoipendekeza kama sote tujuavyo inasaidia kuzuia
maambukizo ya virusi na pia kuzuia ujauzito. Ni vema kujifunza jinsi ya kutumia condom.
Ni rahisi sana kutumia condomo za kiume , Pia ni rahisi sana kutumia condom za kike .
ImageProxy.mvc
female condoms. (tuta ongelea zaidi kuhusu hili as we go on )

2.EMERGENCY CONTRACEPTION. or ( morning after pill)
Hivi ni vidonge ambavyo vinatakiwa kuchukuliwa massa 72 . Baada ya kufanya sex bila protection ya aina ye yote. ila ni vema kuchukua mapema zaidi. wengi hupendekeza kuchukua ndani ya masaa 24 baada ya sex.. Hii ni back up system kama condom ikibasti, umesahau kuchukua vidongo. Na zaidi ni kwa wale waliolzamishwa kufanya tendo la ndoa bila ihari yao, au kama unawasiwasi u mjamzito na hauko tayari . Huwa inapatika kwenye maduka ya dawa baridi. Na inategemea ni muda gani umepita tangu umefanye sex. Kama ni ndani ya masaa kumi na mbili huwa unapewa kidonge kimoja tu basi .

3. Vidonge
Kuna aina nyingi ya vidonge vya uzazi wa mpango . vidonge hivi unatakiwa kuchukua kila siku kama ulivyoa agizwa
na doctor . Vidonge huwa havifanyi kazi kama umetapika tu baadaya kuchukua au kama una diarrhea. vidonge pia vina
Side effects mfano, kuongeza uzito, kuumwa na kichwa , na wengine huvimba matiti. Vidonge vina athari tofauti kwa
kila mtu.

4.Depo- Provera ( Injection )
Kama hutaki usumbufu wa vidongo , Injection ni njia nyingine unaoweza kutumia. Injection inazuia ujauzito
kwa miezi mitatu . Kila baada ya miezi mitatu unatakiwa kupata dozi tena.( Kwa hiyo mara nne kwa mwaka) . Injection
ina side effects pia, period huwa chache na nyepesi sana na baada ya kutumia injection kwa mwaka waeza usione tena Period yako. na kuna wengine ni kinyume kabisa nikimaanisa wanakuwa na period nzito lakini inatoka kama nukta , nukta , haiko mfululizo.Haya yote hutoka na vitu kama uzito wa mwili pamoja na Lishe .


5.Diaphragm/ Cervical cup
Hii ni njia nyingine ya kuzuia ujauzito . Lazima iwe saizi yako . Maana ikiwa kubwa au ndogo haitafanya kazi. Kwa hiyo
doctor atakaye kupa hii atakueleza maelezo yote jinsi ya kutumia . nieleze kidogo jinsi ya kutumia huwa inakuja na na gelly
inayoitwa spermicide. Hiyo unaweka kuzungungukana na pia katikati ya diaphragm au cervical cup, baada ya hapo unaikandamiza iliupate shape ya
kama pembe nne . unaingizaa ikulu kwa kutumia kidole au videle. Unaweza kuiweka masaa kadhaa kabla ya sex. ila unatakiwa kuiacha hapo kwa masaa sita baada ya kujamiiana. uzuri wa hii unatoa na kuiosha na kutumia tena na tena. Tatizo kubwa ya hii ni kuweka
inapotakiwa. Ila doctor atakaye prescribe hii atakupa instraction zote na pia atakuonyosha jinsi ya kuweka.
ImageProxy.mvc
hii ndiyo diaphragm. Na hivi ndivyo inavyokaa.


6. Implants
Hii njia huwa inatumia na wanawake wengi ambao Hawataki kupata ujauzito kwa muda mrefu. pia hutumiwa zaidi
na wanawake ambao hawataki usumbufu wa vidonge, diaphragm/Cervical cup au injuctions. inaonekana kama kama kijiti
kidogo sana cha plastiki. Huwa kinaweka chini ya nyama ya mkono "upper arm" ambapo ina release the contraceptive steroid .
Inazuia ujauzito kwa muda wa miaka mitatu mpaka mitano. uzuri wa hii kitu unaeweza kuondolewa saa yeyote ukiamua kupata ujauzito. Side sffects, mzunguku utabadilka, kuongeza uzito etc.
ImageProxy.mvc
Implanon/ Implants.

7. IUD (intra-uterine device)or T shape.
Hii ni kwa wale ambao Hawataki kufunga kizazi au wale ambao hawana mpango wa kuwa na mwana kwa muda mrefu zaidi . nikimaanisha kuanzia miaka mitano mpaka kumi na mbili . hichi ni kitu ambacho kina T shape kinaweka ndani ya uterus huwa unawekewa na health-care professional kama ilivyo Implants. uzuri wa hii pia ni kama ya implants . wanaweza kuiondoa muda wowote upendao. Ni vizuri kuangalia kila mara moja kwa mwezi kuona kama bado iko wima. ni rahisi sana kuangalia. Kidole tu.
Huwa utahisi maumivu baada tu ya kuweka . masaa machache baadaye hutahisi kitu , kawaida tu .






Kama nilivyosema hapo mwanzoni njia bora ya kutokupata ujauzito ni kutokufanya sex. lakini kwa dunia tunayoishi ni bora kupeana elimu kuliko ku protend kila mtu ni mtakatifu. Kuanzia njia ya pili mpaka ya saba haizuii maambukizo ya ukimwi bali mimba tu. kwa hiyo unaweza kutumia CONDOM pamoja na hizi contraceptives kwa pamoja..

Na nilitaka tu kuonyesha si lazima tu vidonge kuna njia nyingi nyinginezo za uzazi wa mpango pamoja na kuzuia ujauzito. Binafsi si
support abortion kabisa. kwahiyo nasema ni bora ku ZUIA kuliko KUTOA.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MziziMkavu endelea kuonyesha mapenzi yako kwa vitendo "inasemekana" it is good for your health 🙂



Mkuu Zamaulid tatizo langu ninalo siku nyingi nikimpenda mwanamke huwa ninamuonyesha kwa vitendo na

yeye huyo mwanamke huwa hanionyeshi kuwa ananipenda. niliwahi kumuuliza mke wangu siku moja tupo kitandani.Nilimwambia

Mke wangu ninakupenda lakini wewe kwanini hunipendi? Alinijibu hivi na mimi pia ninakupenda lakini sikuonyeshi kama ninakupenda

utapata kichwa. Haa nilishangaa sana, katika ukoo wetu Marehemu Mama yangu alikuwa anampenda Marehemu Dingi wangu huku

akimuonyesha mapenzi lakini dingi wangu hakuwa anamuonyesha mapenzi mama yangu ingawa Dingii wangu alikuwa anampenda

Mama yangu. Sasa itakuwa mimi nimerithi kwa marehemu Mama yangu mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom