Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Huu ni ushauri wa bure...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kimetokea mbona uwezo wako wa kufikiri umepolomoka kwa kasi ya 5GHuu ni ushauri wa bure...
Nini kimetokea mbona uwezo wako wa kufikiri umepolomoka kwa kasi ya 5G
Mimi baba yakoView attachment 2862448
Unatumia Nokia 3310 mawimbi ya 5G utayapataje...?
Uwe nazo kwani wewe ni baba yake Haji au wewe ni Jakaya...?? [emoji14] [emoji14] 😛
Naitafuta simu hii dau ni 200kView attachment 2862448
Unatumia Nokia 3310 mawimbi ya 5G utayapataje...?
Uwe nazo kwani wewe ni baba yake Haji au wewe ni Jakaya...?? 😛 😛 😛
Tusi au maelezo...??Mimi baba yako
Huku wote ni wakuu hata mwanao ni mkuuMimi baba yako
Hana ubavu wa kuwa na umri wa Mzee wangu...Huku wote ni wakuu hata mwanao ni mkuu
Rafiki yake na Baba yako ni ni nani yako?Hana ubavu wa kuwa na umri wa Mzee wangu...
Mimi mwenyewe babu halafu yeye awe baba yangu...!!
Ndiyo maana nimemuuliza ni tusi ama ni maelezo??
Kama ni tusi sina neno lakini kama ni maelezo hana umri wa kuwa baba yangu.
Hawa jamaa wanasahau kitu ndani ya dakika tu!! Ni juzi tu hapa walianza tena kulalamika baada ya kulazimishwa sare na KMC. 😁Baada ya sare na KMC, Mapinduzi yamekuja kuwafuta watu machozi.