Usibishe, hiki kitu kipo

Wewe jamaa umenielewa sanaaa
 
Dah, kama ulikuwepo jana mkuu, yalonitokea jana kwa mrembo flani kama ulikuwepo vile, room kalipa mwenyewe kafika huko katulia kana kwamba anafanya tahajudi ... we hacha tu!
 
Dah, kama ulikuwepo jana mkuu, yalonitokea jana kwa mrembo flani kama ulikuwepo vile, room kalipa mwenyewe kafika huko katulia kana kwamba anafanya tahajudi ... we hacha tu!
Duh, ikawaje tena? Ulimstunyua? Au hukufanikiwa kustunyua?
 
Mkuu itabid nikufollow... Ulichoonge ni kweli... Kuna she mmoja niliwahi kujiweka ni mkali shepu matata ila akifunua mzigo untoa harufu ya kufa mmasai alaf eti akawa anakaza nizame uvinza, nina kichaa hicho kwani?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
 
Harufu mtindo mmoja alafu anakwambia uzame wapi??
 
Mdada unakuta mrembooo maringo kibaao eneo la tukio ni tatizo, mdomo, kwapa ndo harufu hatari deodorant inadunda, ukikutana na masela wanakupa stori kilichojiri kumbe majanga, kuna jamaa anafurahishaga huwa anapaita down stairs eneo la tukio...daah watu wana vituko sana jamani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaa.... Unavituko sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…