Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
USICHAGUE YA KUSIKIA DHIDI YA UMPENDAYE, HATA MABAYA YAKE YASIKIE✍️
Sababu kubwa ya kushindwa kumsamehe ni kwa sababu ulimuona kwa upande mmoja tu hukutaka kujua ya upande wake wa pili na hata uliposikia ulijua anazingizishiwa.
Tunakwama sana hapo pale tunapopenda tunamuulizia kwa yale tunayotaka kuyasikia tu na ikitokea unaambiwa yale usiyotaka kusikia basi utapinga vikali.
Ukomavu ni kumpenda hata baada ya kujua mazuri na mabaya yake kisha ukachagua mazuri yake ikiwa tu yanazidi mabaya yake.
Ni udhaifu sana kujipa upofu wa kutataka kujua mabaya yake na kitachotokea ni kuwa utajipa UPOFU ila kuna siku utajionea mwenyewe na hapo UTASHINDWA KUKABILIANA NA HALI HIYO.
Kuna usemi wa kihenga usemao UPOFU KWENYE MAHUSIANO HUWA UNAISHA SIKU UKIPIGWA TUKIO sasa usisubiri ufike huko wewe fahamu upande wake mbaya kisha Jiambie kweli utaweza kumpenda bila kuathiriwa na upande wake mbaya?
#mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako.
Sababu kubwa ya kushindwa kumsamehe ni kwa sababu ulimuona kwa upande mmoja tu hukutaka kujua ya upande wake wa pili na hata uliposikia ulijua anazingizishiwa.
Tunakwama sana hapo pale tunapopenda tunamuulizia kwa yale tunayotaka kuyasikia tu na ikitokea unaambiwa yale usiyotaka kusikia basi utapinga vikali.
Ukomavu ni kumpenda hata baada ya kujua mazuri na mabaya yake kisha ukachagua mazuri yake ikiwa tu yanazidi mabaya yake.
Ni udhaifu sana kujipa upofu wa kutataka kujua mabaya yake na kitachotokea ni kuwa utajipa UPOFU ila kuna siku utajionea mwenyewe na hapo UTASHINDWA KUKABILIANA NA HALI HIYO.
Kuna usemi wa kihenga usemao UPOFU KWENYE MAHUSIANO HUWA UNAISHA SIKU UKIPIGWA TUKIO sasa usisubiri ufike huko wewe fahamu upande wake mbaya kisha Jiambie kweli utaweza kumpenda bila kuathiriwa na upande wake mbaya?
#mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako.