Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushukuru Sana Sana Ndugu yangu. Ubarikiwe SanaMkuu nimependa andiko hili.
Hakika wewe ndo wale great thinker ambao mnavuta watu kujiunga na jf
Ahsante Sana Sana Ndugu yangu kajembejrBandiko la akili nyingi!!
Aisee kweli wewe hutembei. Wasukuma wanavaa sketi na wanavaa rain boat kama vile wewe unavyovaa ndala. Na sketi ni vazi rasmi Scotland wanavaa hadi wanaume. Ingawa haipendezi mwanaume kuvaa sketi kulingana na sheria ya kimaumbile lakini watu wanavaa.Hahahaha Mimi ni msukuma pia wa mwanza . Lkn sijaona msukuma huku akivaa sketi.. natambua pia hata highland Kuna wanaume wanavaa sketi . Natambua pia wamasai wanavaa mashuka . Lkn siyo vazi rasmi la dunia nzima .
Hapa nazungumzia urasmi wa mavazi kidunia ambapo ukilipeleka Hilo vazi Hakuna atakayestuka Wala kushangaa.
Nafahamu Hilo Ndugu . Lkn siyo vazi rasmi la kidunia . Hiyo inabaki kuwa Ni tamaduni ya kajamii fulani tu .. hata wamasai wanavaa mashuka na ndiyo maana wanaonekana km vivutio vya utalii. Siyo Jambo la kawaida kidunia ..Aisee kweli wewe hutembei. Wasukuma wanavaa sketi na wanavaa rain boat kama vile wewe unavyovaa ndala. Na sketi ni vazi rasmi Scotland wanavaa hadi wanaume. Ingawa haipendezi mwanaume kuvaa sketi kulingana na sheria ya kimaumbile lakini watu wanavaa.
HahahahahahahBora mlevi anaemkumbuka muumba wake akiwa bar kuliko muumini anamsahau muumba wake akiwa sinagogini
Mkuu ulipost somo la wafu,? Nasubiria sana na nilikuomba unitag ulipost.Naam ,kisa cha tajiri na lazaro nimekijumuisha kwny somo hilo
Jana nilipost somo la shetani "pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Haumfahamu vizuri na Unasema ni Adui Yako"...Mkuu ulipost somo la wafu,? Nasubiria sana na nilikuomba unitag ulipost.
Umeliona Hilo Ndugu yangu?Hata mimi hili la kuitwa Yesu bado linanifikirisha
Inahitajika tafakari tulivuHata mimi hili la kuitwa Yesu bado linanifikirisha
SanaFalsafa ya kina
Si mbaya Lakini na sisi tukakachukuaAhsante mkuu.. hahaha wale Jamaa Wana kiutamaduni binafsi ka. Kipekee sana
Sketi za kiume zipo. Nenda Scotland, utakuta watu wa kabila la ki "Scot" wanavaa sketi.Ulishawahi kujiuliza kwanini Kuna suruali za kike lkn hakuna sketi za kiume?
Natambua wapo watu wenye tamaduni hiyo. Lkn siyo utambulisho wa kidunia ..Sketi za kiume zipo. Nenda Scotland, utakuta watu wa kabila la ki "Scot" wanavaa sketi.