Usichokijua kuhusu wimbo wa kwanza wa Diamond "Nenda Kamwambie"

Usichokijua kuhusu wimbo wa kwanza wa Diamond "Nenda Kamwambie"

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Fahamu kwamba video queen wa wimbo wa kwanza wa Diamond platnumz alikuwa dada yake Esma Platnumz,kwa nini Esma? ni kwamba wadada ambao aliwaalika Diamond kufanya hiyo scene hawakutokea kutokana na dharau kwa kuwa jamaa hakuwa staa na lile jisura lake lilivyokuaga baya kipindi kile wakaona dooh....ndipo Dada mtu akaombwa kucheza hiyo part na akaimudu sana (halafu Esma alikuaga mzuri kishenzi)...naamini hao wadada waliomtosa D leo hii wanatamani hata kushikana nae mkono tu,Maisha safari ndefu sana tusidharauliane.
Najua ulikuwa hujui ila mimi nakujuza kidogo tu..
Angalia hii kuanzia dakika ya 3:10
 
Siku ya kwanza tu nilipo iona video ya NENDA KAMWAMBIE kupitia Star tv (bonga kama sikosei) nakumbuka nilimwambia mke wangu 'huyu kijana anajua kuimba na atafika mbali'.
Mimi nakumbuka siku ya kwanza nilimuona anahojiwa Planet Bongo na wimbo wake ukachezwa, mi binafsi sikuupenda kabisa, ila kuna jamaa yangu chuo alikuwa anaupenda balaa, aliuweka kwenye laptop akawa anatusumbua room kila akiwepo lazima auweke, ilikuwa kero. Sikuwaza kama anaweza kuwa mkubwa, wakati huo nilikuwa namkubali sana Belle9 huyo Diamond niliona ni msanii wa kupita, the rest is history...
 
atakua baba ake alikua na usomali somali
Huyu demu kweli bana ni shombeshombe flan hivi halafu mzuri sana mi napenda kidevu chake na jinsi anavyocheka...hapo bado sijasema anavyoongea...ila kapata bwana Kolo sana petit Man cha wa Sepetu...
 
Siku ya kwanza tu nilipo iona video ya NENDA KAMWAMBIE kupitia Star tv (bonga kama sikosei) nakumbuka nilimwambia mke wangu 'huyu kijana anajua kuimba na atafika mbali'.
Mkuu mimi nilikuwa na jamaa yangu nakumbuka ilikuwa mwaka 2008, nilipoiona tu hiyo video nikamwambia jamaa yangu huyu dogo atatisha sana huko mbeleni.
 
Huyo esma ndo yupo hivyo ndugu zangu wa Dar? au kwa msaada wa make up? kama ni hivyo hapana shaka kwa hakika karakana ya Mungu bado inaumba bhana Mashaaallah
 
si kweli, hapa umetuingiza chaka yule dada sio esma...nakumbuka mondi alishawahi kutoa hiyo stori na akasema anatamani yule video qn aje aonane nae siku moja maana yeye (v..vixen) hakujali uchanga wake na alikubali kucheza kwny video yke....sidhani km angekuwa ni esma angesema hivyo maana mondi alisema yyte anayejua sehemu ambapo huyo dada yupo basi amwambie...maneno hayo diamond aliandika kweny instagram si zaidi ya miaka 2 iliyopita.

Half angekuwa esma yule c tungekoma, daily angekuwa anajipost huko insta na caption za kujisifu....hlf kipind kamwbie inatoka kaesma kalikuwa kadogo dogo hivi hlf kembamba sn kuliko huyo dada wa kwemy video ambaye anaonekana kajazia kiaina.
 
Yan....Mondi hawa Wadad Wanamkoma Anakiwasha Ye Hajali anacheza mechi zote kama fainali vileee
 
Back
Top Bottom