safi kabisaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂Matumizi mengine ya powder ni kupaka kwenye mkuyenge. Binafsi napaka kiasi kwamba, hauchubuki na wala hauchuniki na unabaki na rangi yake ya asili na unanukia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Mtihani upo kwa mende na urembo wa chumbani kwenye meza ya kujipambia, sisimizi na utitiri sio kesini powder zote zinaua Sisimizi
Imagine tunapakaa watoto sasa jamani?!Nakiri kuwa mie Ni mteja wa hii bidhaa kwa zaidi ya miaka 10 Sasa lakini, Kitendo cha kuua wadudu hao Ni wazi hiyo powder ina sumu na haifai kwa matumizi ya mwili wa mwanadamu,, kuna wakati ililalamikiwa huko ulaya kuwa inasababisha kansa,(nikahisi Ni fitna za kibiashara), Sasa na kwa hili mkuu inawezekana ni kweli
Hilo silijui Mkuu, nachojua ni dawa ya kuua mendeNa vipi kwenye kuongeza muonekano mzuri kwenye dressing table....??
Siyo kwamba ililalamikiwatu ilipelekwa mahakamani na kampuni ikalipa mamilioni ya dollar kwa wahangaNakiri kuwa mie Ni mteja wa hii bidhaa kwa zaidi ya miaka 10 Sasa lakini, Kitendo cha kuua wadudu hao Ni wazi hiyo powder ina sumu na haifai kwa matumizi ya mwili wa mwanadamu,, kuna wakati ililalamikiwa huko ulaya kuwa inasababisha kansa,(nikahisi Ni fitna za kibiashara), Sasa na kwa hili mkuu inawezekana ni kweli
Mwanamme ukishakuwa na kitambulisho cha NIDA hauhitaji kioo. Ukishajiandaa unakishika unakiangalia unasepa haihitaji kiooKwamba inaongeza muonekano mzuri wa chupa zilizo simama kwenye dressing table...[emoji87][emoji87]
Samahani mkuu, kwa hili hauja nishawishi bado. Na mimi kwangu dressing table ipo kwaajili ya matumizi ya wife pekee, na sijawahi kupata hata muda wa kujitazama kwenye kioo wala powder...[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii pia nimeijua juzi tu, nilikuwa nikirudi night nakuta konokono wash room yaani wametapakaa kwenye tiles chini na za ukutani pia.Kitu chochote kinaweza kutumika kama sumu inategemea tu kimetumikaje na kwa kiasi gani. Hivi una habari konokono asiye na gamba ukimwekea chumvi anayeyuka kabisa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu zingatia ushauri wa Saint Ivuga, piga mapowder km vijana ya mujini[emoji23][emoji23]Aibu nimeona mimi....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna Alama ya ulizo hapo.unaliza au unaniambia?
Sijui kama zote zijazifanyia majalibio.
Hao sisimizi na jamii yake nawachukia sana.mkuu ipo mi nautumia kama sumu kiuwa wadudu ninapata changamoto iyo kuna sisimizi chumbani kwangu hasa kipindi hiki cha ukame
Mkuu hiyo tabia nilianza toka zamani sana.[emoji23] [emoji23] mimi napakaga dushe tu. Ama siku nimenyoa mzuzu basi.Matumizi mengine ya powder ni kupaka kwenye mkuyenge. Binafsi napaka kiasi kwamba, hauchubuki na wala hauchuniki na unabaki na rangi yake ya asili na unanukia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]