Usichokijua kwenye Johnson's baby powder

Kumbe haifai kabisa,TBS wako wapi?
 
Chlorine ni dawa yaa kuuwa wadudu na pia hutumiwa na malaka za maji kutibu maji tunayokunywa na kutumia majumbani kwetu, yaani wewe acha kunywa na maji ya bomba kabisa.
 
Chlorine ni dawa yaa kuuwa wadudu na pia hutumiwa na malaka za maji kutibu maji tunayokunywa na kutumia majumbani kwetu, yaani wewe acha kunywa na maji ya bomba kabisa.
Umekurupuka sana na Hilo hitimisho lako
 
Unaharibu biashara ya wenzako kwa uongo wako
 
ndio poda zote zinaua sisimizi siyo hiyo hata zile za blue cjui zimeandikwa baby powder ukiweka sisimizi wanakimbia jaribu uone xo inabidi tuache kuwapaka wtt powder aina yyte
unaliza au unaniambia?
Sijui kama zote zijazifanyia majalibio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…