Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
- Thread starter
-
- #41
Ha ha ha haaah naangalia upepo huenda nikawa mzalendo siku hiyo.
Nitakuwa pamoja na yangaAmua mapema kabla mechi haijaanza, ukidandia treni kwa mbele litakuvunjavunja.
Tunawashukuru mikia wote waliokuwa upande wetu katika mechi zilizotangulia. Hata hivyo kila mtu bado anao uhuru wa kushabikia na/au kushangilia timu yoyote anayoipenda hata kama ni ya nje, huu mwanya utumike vizuri kabla sheria ya kuwabana haijapitishwa bungeni.
Nitakuwa pamoja na yanga
Matokeo ya head-to-head msimu huu yana lowest priority maana tayari yamejumuishwa katika data zilizotolewa hapo juu.
Hiyo ngumu.Tena uhamie moja kwa moja wewe na nyumba yako yote.
Tupatie basi na matokeo ya head-to-head msimu huu, lakini kama unayo
Hakuna maana ya kula chakula kizuri siku 363 za mwaka halafu unakuja kuzimia na kubebelewa kwenye ambulance kwa fedheha kwa kukosa kula siku 2Hakuna maana ya kula chakula kizuri mara 2 kwa mwaka halafu una shinda njaa siku 363 zilizobakia,hiyo ndio simba mambumbumbu fC
Simba ni sawa na mwanafunzi anayefaulu somo moja kati ya masomo 10,sasa watabaki kuwa mazezeta tu!!!!
Simba wamefurika Tanga leo hii kuisapoti Mgambo iifunge Azam! Uswahiba wao kwishney!
Duuuuuhhh safi sana