Usidanganywe, pesa huletwa na pesa, tumia pesa upate pesa. Je unahitaji pesa kesho 24.02.2024?

Usidanganywe, pesa huletwa na pesa, tumia pesa upate pesa. Je unahitaji pesa kesho 24.02.2024?

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Simple;
Bet hata kwa mara ya kwanza.

Tafuta mechi ya Simba na Azam kwenye mikeka ya Betting.

Mpe Simba Ushindi. Mpaka Sasa ana point 1.60.
Hapo ukiweka laki una laki na sitini, ukiweka milioni, una milioni na laki sita.

Ukichelewa hizo point zinashuka. Simba kuifunga Azam is a must.

Bet what you CAN'T afford to loose, because you will never loose.

Utanishukuru kesho jioni.
 
Simple;
Bet hata kwa mara ya kwanza.

Tafuta mechi ya Simba na Azam kwenye mikeka ya Betting.

Mpe Simba Ushindi. Mpaka Sasa ana point 1.60.
Hapo ukiweka laki una laki na sitini, ukiweka milioni, una milioni na laki sita.

Ukichelewa hizo point zinashuka. Simba kuifunga Azam is a must.

Bet what you CAN'T afford to loose, because you will never loose.

Utanishukuru kesho jioni.
Mkeka uko wazi sana huu.Ni vile watu hawataki kumfilisi muhindi
 
Sisi sio wagen kubet tunajua kila kitu sio rahis kama unavosema
 
Swali tafadhali ☝ hiv mwalimu wakubeti ni Kampuni ipi ima option ya penati ? Na je naweza nikaweka ahoua atapiga penati ?kama ipo nitajie niweke ka laki kangu
 
Back
Top Bottom