Ernst kipire
JF-Expert Member
- Dec 16, 2019
- 286
- 292
kwnz wew kila siku unamtumikia shetan ndio man kila siku iendayo hutenda dhambi eidha makusudi au bahati mbaya.Sasa niambie shetani ameumba nini? Na kama ana nguvu basi awe na uwezo wa kuwateza nguvu viumbe vyote ulimwenguni wamtumikie yeye tu kama ana nguvu afanye hivyo.
Huu ni ukosefu wa elimu na maarifa hata kushindwa kuwa na imani thabiti. Shetani ni kiumbe tu hawezi kushindana na muumba wake na sio kila anachotaka atafanikiwa.
Marafiki wa shetani ni wale wanaomtii basi na ndio ana madaraka kwao. Kama wewe umeamua kumtumikia mtumikie wewe sio kuwaaminisha watu wote wamuamini shetani, wangapi walikuwa vipenzi vya shetani na wanamtumikia kwa kila jambo atakalo mbona wamekufa na wala kwamwe hakuweza kuwahuwisha...Kifo kidume sana [emoji23][emoji23]
Je, ndani ya miezi mitatu iliyopita hukutenda dhambi?mleta mada utakuwa umetumwa na shetani uje umtukuze humu?
Kwa taarifa yako, shetani ni adui aliyeshindwa. Yesu wa msalaba alimshinda pale msalabani (kwa kufa na kufufuka kwake) na sasa huyo Kristo Yesu anaishi ndani ya wote wamwaminio yaani wale wote walioupokea wokovu. Hivyo kwa sasa tunayaishi maisha ya ushindi dhidi ya adui shetani na ibilisi.
JESUS IS LORD
anajinafikia, anafikiri shetan ni kitu kidg..Unatumia pesa, condom, na vitu kedekede alafu unasema utamkimbia Shetani? [emoji23]
Mmmh. Je, Yesu alizunguka huko na huko akiponya wote walioonewa na Ibilisi .... kwa hiyo mapepo sio Shetani? Hebu utuambie kazi au matendo ya Shetani, matendo ya Mapepo, matendo ya yule mwovu, matendo ya Ibilisi na nguvu za giza etc.yale yalikua mapepo mzee
Kwahiyo wewe umetakasika? Na damu yake yesu?Kwa Yesu, shetani alidhani amemkomoa ila alitimiza maandiko. .. . ilikuwa lazma mwana wa Adamu aje aishi kama mwanadamu na asubulubiwe...afanyike laana ..aimwage damu yake isiyo na hatia kwa ajili ya utakaso wa kila mwanadamu mwenye mwili duniani.. afe azikwe na afufuke..
Msalaba una nguvu kuliko mauti.
Bado unasafari ndefu sana ya kumjua Mungu na kumtofautisha Mtumwa wa Mungu Yesu. Soma vzr kitabu chako unachokiamini uone hapoahali Yesu alipoumbwa hivyo unavyovisema.Yesu Kristo ndiye aliyeumba vyote akiwepo shetani leo hii atakuwaje na nguvu kuliko Yesu?
Endelea kumtukuza shetan wako ila jamaa hapo amekueleza ukweli, nakushauri jitahidi usome vizur Biblia na Mungu akupe ufahamu wa kulielewa neno la Mungu.Jaribu kipitia historia utaona jinsi mitume walichapika na wanavyochapika mpaka sasa,
Acha kufuru wewe!! Mungu hana mtoto na pia Yesu si Mungu. Yeye ni Mwana wa Adam kwa maana ni (Binadamu) ie Bin adamNi mwana wa Mungu.
Mungu muumba mbingu na dunia.
Yesu pia ni MUNGU.
Mungu yupi ambaye anakubali shetani adhuru mwili wake?? Mungu uyu uyu au mwingine wa nazaretNi kweli mkuu shetani hawezi kuwa na nguvu kuliko Yesu, lakini iko hivi:
Yesu kimwili ni Binadamu i.e alikua, aliishi sawa kama na sisi tunavyoishi.
Lakini Kiroho, Yesu ni Mungu na ndo maana ndiye aliyeumba vyote na Shetani analifahamu hilo na kukiri hivyo.
Kwa mantiki hiyo, Shetani alipambana na Yesu lakini ilikuwa ni kimwili zaidi na aliishia kuudhuru mwili.Hakuweza na Alishindwa kabisa Kiroho. Yesu alifufuka na kuvaa mwili usioharibika tena.
Mkuu; Hebu soma Isaya 53 : 1-9 kwa utulivu na kwa kutafakari kwa undani labda utapata mangamuzi ni nani anayezungumziwa hapo.Mungu yupi ambaye anakubali shetani adhuru mwili wake?? Mungu uyu uyu au mwingine wa nazaret
"mmepigwa!"Acha kufuru wewe!! Mungu hana mtoto na pia Yesu si Mungu. Yeye ni Mwana wa Adam kwa maana ni (Binadamu) ie Bin adam
Umeshawahi sikia wapi Mungu anakufa? (Maana naamini unaamini kuwa Yesu alikufa). Tena anakufa kwa kuuliwa na Mwanadamu aliyemuumba? Je mwanadamu ana nguvu kumzidi Mungu? Kama Mungu ndiye Muumba wa Vyote, Je Yesu alimuumba mama yake mzazi?
Je Mungu anaposema "nimtume nani"? Na akaamua Kumtuma Yesu, ina maana Mungu anatumwa? Kama Mungu ametumwa, je aliyemtuma ananguvu gani? Au unaamini kuna Miungu wangapi kww imani yako? Je Unaamini kuna Mungu Mkubwa na mdogo? Katika dini yako, anayetumwa na Mungu ili amtendee kazi zake anaitwa nani? Yesu aliposema "Bwana Wasamehe hawa hawajui watendalo.." alikuwa akimuomba nani awasamehe?
Jamaa, fanya mabadiriko kwenye kichwa chako kabla hujakabidhi amana ya roho ya Mungu aliyekuumba wewe, mimi, Yesu (Asw), Muhammad (s.a.w), Ibrahimu (asw) na vyote duniani na akhera. Yesu ni Mtume wa Mungu na SI MUNGU!
Kampe padre wako hii msg na hayo maswali msaidiane kuyatafakari.
πππ Kwakweli umewasilisha Biti la shetani kama alivokuagizaKuna baadhi ya watu wanadhani shetani ni jambo dogo, ile ni nguvu kubwa iliyoshinda binadamu wote. Utakapojaribu kuingia kwenye ugomvi na yeye ndipo utatambua kuwa unajaribu kupigana na jambo usiloweza. Kwa reference fupi, wapo mitume waliojaribu kupambana naye wakaishia kupata adhabu kali zisizoelezeka.
Wakwanza ni Yesu, mwana wa Mungu alipojaribu kupambana nae aliishia kusulubishwa. Ayubu mcha Mungu alipata kipigo kikali sana alipomcha Mungu, Adam na Hawa pamoja na utashi wao wote walitiwa kwenye 18, mitume ikiwemo Stephano walipigwa na mawe mpaka kufa walipoingia kwenye vita na shetani.
Unaposema unataka vita na shetani labda pepo ila sio shetani aliyemsulubisha Yesu, vinginevyo utaishia kuchapwa kipigo kitakatifu.
Jiulize je, kama Yesu na nguvu zake zote alisulubishwa vibaya sana wewe atakufanyia jambo gani?
πππ Kwa hiyo walikuwa na roho mbaya ka wajumbeNa wala hakuwa shetani ni wanadamu tu na tamaa zao za madaraka, walidhani atawakwapua madaraka.
Ndugu kumwelewa Mungu sio jambo dogo na kwa akili za kibinadamu ni ngumu sana kumwelewa.Acha kufuru wewe!! Mungu hana mtoto na pia Yesu si Mungu. Yeye ni Mwana wa Adam kwa maana ni (Binadamu) ie Bin adam
Umeshawahi sikia wapi Mungu anakufa? (Maana naamini unaamini kuwa Yesu alikufa). Tena anakufa kwa kuuliwa na Mwanadamu aliyemuumba? Je mwanadamu ana nguvu kumzidi Mungu? Kama Mungu ndiye Muumba wa Vyote, Je Yesu alimuumba mama yake mzazi?
Je Mungu anaposema "nimtume nani"? Na akaamua Kumtuma Yesu, ina maana Mungu anatumwa? Kama Mungu ametumwa, je aliyemtuma ananguvu gani? Au unaamini kuna Miungu wangapi kww imani yako? Je Unaamini kuna Mungu Mkubwa na mdogo? Katika dini yako, anayetumwa na Mungu ili amtendee kazi zake anaitwa nani? Yesu aliposema "Bwana Wasamehe hawa hawajui watendalo.." alikuwa akimuomba nani awasamehe?
Jamaa, fanya mabadiriko kwenye kichwa chako kabla hujakabidhi amana ya roho ya Mungu aliyekuumba wewe, mimi, Yesu (Asw), Muhammad (s.a.w), Ibrahimu (asw) na vyote duniani na akhera. Yesu ni Mtume wa Mungu na SI MUNGU!
Kampe padre wako hii msg na hayo maswali msaidiane kuyatafakari.
Kama unakubaliana na hayo maswali uliyouliza basi jiulize Yesu alikuwa wapi na alikuwa nani wakati huo? Na kwanini pekee ndio aliweza hiyo kazi?Acha kufuru wewe!! Mungu hana mtoto na pia Yesu si Mungu. Yeye ni Mwana wa Adam kwa maana ni (Binadamu) ie Bin adam
Umeshawahi sikia wapi Mungu anakufa? (Maana naamini unaamini kuwa Yesu alikufa). Tena anakufa kwa kuuliwa na Mwanadamu aliyemuumba? Je mwanadamu ana nguvu kumzidi Mungu? Kama Mungu ndiye Muumba wa Vyote, Je Yesu alimuumba mama yake mzazi?
Je Mungu anaposema "nimtume nani"? Na akaamua Kumtuma Yesu, ina maana Mungu anatumwa? Kama Mungu ametumwa, je aliyemtuma ananguvu gani? Au unaamini kuna Miungu wangapi kww imani yako? Je Unaamini kuna Mungu Mkubwa na mdogo? Katika dini yako, anayetumwa na Mungu ili amtendee kazi zake anaitwa nani? Yesu aliposema "Bwana Wasamehe hawa hawajui watendalo.." alikuwa akimuomba nani awasamehe?
Jamaa, fanya mabadiriko kwenye kichwa chako kabla hujakabidhi amana ya roho ya Mungu aliyekuumba wewe, mimi, Yesu (Asw), Muhammad (s.a.w), Ibrahimu (asw) na vyote duniani na akhera. Yesu ni Mtume wa Mungu na SI MUNGU!
Kampe padre wako hii msg na hayo maswali msaidiane kuyatafakari.
YESU ni MUNGU MTU. Hii inamaana kuwa YESU ni MUNGU 100%, na ni MTU 100%.Yesu Kristo ndiye aliyeumba vyote akiwepo shetani leo hii atakuwaje na nguvu kuliko Yesu?