Usidhani shetani ni mdogo kama unavyofikiri

Usidhani shetani ni mdogo kama unavyofikiri

"mmepigwa!"



JESUS IS LORD
Huna hoja. Jitafakari na Mungu wako Yesu unayesema alikula mijeredi na kisha watu wakamuua Mungu wako Msalabani.

Fanyia kazi assigent niliyokupq huko juu. Tumia akili yako hata robo tu, utaijua haki na kweli.
 
Ndugu kumwelewa Mungu sio jambo dogo na kwa akili za kibinadamu ni ngumu sana kumwelewa.
Manabii na Mitume wote walikuwa wanapata ufunuo na ndio maana huwezi kusoma maandiko ya Mungu ukamaliza.
Kwa hiyo tutumie akili za nani kumwelewa angali sote sisi ni binafamu? Mara nyingi tunapoishiwa hoja kwenye maswali ya msingi, tunakuja na barriers za kutuwekea ukomo wa Kufikiri.

Mungu amejibainisha ktk vitabu vyake vyote na anaeleweka sana. Mfano miongoni mwa sifw za Mungu (wa Ibrahim na Muhammad) ni:
1. Hajawahi umbwa na yeyote
2. Hazai wala yeye hajazaliwa
3. Hafi (hajawahi kufa na haitakuja iwe hata kwa dakika 1)
4. Muumba wa vitu vyote hai na visivyo na uhai
5. Mjuzi wa vyote
6. Yeye ndiye muabudiwa na muombwa
7. Hutoa rizki wa waja wake
8. Ni mmoja asiye na mshirika
Na nyingine nyingi. Sasa, jiulize Mungu unayemwabudu na kumtamburisha anasifa hizo? Ukiona umembainisha kiumbe yeyote nje ya mwenye hizo sifa kuwa ni Mungu basi jua kuwa unakufuru.
 
Mwanzoni sikujibiwa tofauti kati ya mapepo na shetani. Sasa wewe unasema tunamuongelea Lucifer. Naomba nikuulize hesabu hili na unibainishie ni sawa au sio sawa.;
Pepo = Shetani =Lucifer?
Lazima ujue historia ya uasi wa mbinguni kwanza. Lucifer alikuwa ni malaika mkuu (kama waziri mkuu), ikafikia mahali malaika wa chini yake, wakamshawishi Lucifer aasi ampindue Mungu, kwasababu ana nguvu, ujuzi na maarifa yote.

Lucifer akaasi. Ikatokea vita kwa jeshi la Mungu na Lucifer. Lucifer akapigwa akafukuzwa mbinguni na wafuasi wake (malaika waliogeuka kuwa mapepo wakuu) wakaja wakaanzisha utawala huku chini (duniani?).

Hao mapepo wakuu wanao wa chini yao..mapepo wa kawaida.
* Kurudi kwenye swali lako la msingi..pepo ni pepo (evil spirit), shetani ni neno linatokana na neno la kiarabu shaitwani ambapo wanamaanisha ni Lucifer.
 
Mungu yupi ambaye anakubali shetani adhuru mwili wake?? Mungu uyu uyu au mwingine wa nazaret
Usisahau pia kuwa mtume Muddy alikuwa anakabwa kabali na shetwaini hadi anzirai na akirudiwa na fahamu anashushiwa aya na kiumbe kilichomkaba.

Jiongeze sasa kama utaweza kukemea vibwengo kwa jina la Muddy na vikatoweka au lah

Ila kwa jina la Yesu hakuna cha vibwengo wala vinyamkera vyote hutoweka

Jesus is Alive, powerful name!
 
Kuna baadhi ya watu wanadhani shetani ni jambo dogo, ile ni nguvu kubwa iliyoshinda binadamu wote. Utakapojaribu kuingia kwenye ugomvi na yeye ndipo utatambua kuwa unajaribu kupigana na jambo usiloweza. Kwa reference fupi, wapo mitume waliojaribu kupambana naye wakaishia kupata adhabu kali zisizoelezeka.

Wakwanza ni Yesu, mwana wa Mungu alipojaribu kupambana nae aliishia kusulubishwa. Ayubu mcha Mungu alipata kipigo kikali sana alipomcha Mungu, Adam na Hawa pamoja na utashi wao wote walitiwa kwenye 18, mitume ikiwemo Stephano walipigwa na mawe mpaka kufa walipoingia kwenye vita na shetani.

Unaposema unataka vita na shetani labda pepo ila sio shetani aliyemsulubisha Yesu, vinginevyo utaishia kuchapwa kipigo kitakatifu.
Jiulize je, kama Yesu na nguvu zake zote alisulubishwa vibaya sana wewe atakufanyia jambo gani?
Yesu mwana wa Mungu!!
 
Mmmh. Je, Yesu alizunguka huko na huko akiponya wote walioonewa na Ibilisi .... kwa hiyo mapepo sio Shetani? Hebu utuambie kazi au matendo ya Shetani, matendo ya Mapepo, matendo ya yule mwovu, matendo ya Ibilisi na nguvu za giza etc.
Huoni kwamba unachanganya mafaili mkuu? Kumbuka mtoto wa nyoka ni nyoka.
labda nikueleze kidg kuhus mapepo, ukisoma vzr biblia inaeleza juu ya Vita kuu, iliyopiganwa mbinguni Kati ya Mungu na shetan..

Inaeleza kuwa shetan alitaka kupindua Mungu na kuitawala mbingu, akashawishi baadhi ya malaika na wakakubali, ndipo wakaanzisha Vita na kupigwa vibaya ndipo Mungu akamlaani shetan na kumfukuza mbinguni yeye na malaika wake waovu, ndipo wakatupwa duniani, wale walio angukia baharini ndio hao majini, na wale walio angukia nchi kavu ndio haya mapepo

hivo mapepo syo shetan Bali ni mawakala wake.

mziki wa shetani cyo wa kitoto kwa sis binadamu, kwanz unatakiw ujue kabla shetan hajamuhasi Mungu ndie alikua malaika mkuu( lucipher) na harakt. zot za kuumbwa binadamu alikuwepo na anajua kila kitu kuhusu binadamu.

oya shetan cyo roho ya kitoto
 
labda nikueleze kidg kuhus mapepo, ukisoma vzr biblia inaeleza juu ya Vita kuu, iliyopiganwa mbinguni Kati ya Mungu na shetan..

Inaeleza kuwa shetan alitaka kupindua Mungu na kuitawala mbingu, akashawishi baadhi ya malaika na wakakubali, ndipo wakaanzisha Vita na kupigwa vibaya ndipo Mungu akamlaani shetan na kumfukuza mbinguni yeye na malaika wake waovu, ndipo wakatupwa duniani, wale walio angukia baharini ndio hao majini, na wale walio angukia nchi kavu ndio haya mapepo

hivo mapepo syo shetan Bali ni mawakala wake.

mziki wa shetani cyo wa kitoto kwa sis binadamu, kwanz unatakiw ujue kabla shetan hajamuhasi Mungu ndie alikua malaika mkuu( lucipher) na harakt. zot za kuumbwa binadamu alikuwepo na anajua kila kitu kuhusu binadamu.

oya shetan cyo roho ya kitoto
#Sahihisho kidogo mkuu; ..... Sio Kumuhasi Mungu bali ni Kumuasi Mungu
maana Kuhasi = Castrate Kuasi = Revolt, Rebel
Ok. Sasa Vp. Na Shetani aliangukia wapi? mbona hujamtaja kati ya hayo makundi mawili?
Neno Shetani limetokana na wapi? Lina maana gani?
 
Lazima ujue historia ya uasi wa mbinguni kwanza. Lucifer alikuwa ni malaika mkuu (kama waziri mkuu), ikafikia mahali malaika wa chini yake, wakamshawishi Lucifer aasi ampindue Mungu, kwasababu ana nguvu, ujuzi na maarifa yote.

Lucifer akaasi. Ikatokea vita kwa jeshi la Mungu na Lucifer. Lucifer akapigwa akafukuzwa mbinguni na wafuasi wake (malaika waliogeuka kuwa mapepo wakuu) wakaja wakaanzisha utawala huku chini (duniani?). Hao mapepo wakuu wanao wa chini yao..mapepo wa kawaida.

* Kurudi kwenye swali lako la msingi..pepo ni pepo (evil spirit), shetani ni neno linatokana na neno la kiarabu shaitwani ambapo wanamaanisha ni Lucifer.
Mkuu, mbona haileti Logic kwa sababu umesema Lucifer ni Malaika mkuu (kwa hiyo ni Malaika ukiachana na cheo chake) na tena ukasema malaika wa chini yake ( uzingatie kwamba nao pia ni Malaika japo hawakuwa na cheo). Baada ya vita ulioisema ya huko mbinguni Lucifer na wenzake wakafukuzwa mbinguni.

Kufukuzwa mbinguni hakukuwafanya au kuwaondolea waache kuwa ni Malaika i.e. Hao wote (Lucifer na Wafuasi wake)ni Malaika WALIOASI.
Kwa mantiki hiyo Malaika walioasi(Lucifer + Wafuasi wake) walifukuzwa mbinguni na kutupwa duniani. Lakini Bado kwa kutupwa duniani hakukuwaondolea kuwa ni Malaika.

Sasa mkuu, uniambie hao unaowaita mapepo wakuu na Mapepo wa kawaida wametokea wapi tena?

Hii habari ya Malaika waliogeuka kuwa Mapepo wakuu naomba utoe reference ya mahali ulipoisoma.

Nakushauri soma Kitabu cha Enock Sura ya 6 - 9. Utapata mwanga kidogo.
 
Kuna baadhi ya watu wanadhani shetani ni jambo dogo, ile ni nguvu kubwa iliyoshinda binadamu wote. Utakapojaribu kuingia kwenye ugomvi na yeye ndipo utatambua kuwa unajaribu kupigana na jambo usiloweza. Kwa reference fupi, wapo mitume waliojaribu kupambana naye wakaishia kupata adhabu kali zisizoelezeka.

Wakwanza ni Yesu, mwana wa Mungu alipojaribu kupambana nae aliishia kusulubishwa. Ayubu mcha Mungu alipata kipigo kikali sana alipomcha Mungu, Adam na Hawa pamoja na utashi wao wote walitiwa kwenye 18, mitume ikiwemo Stephano walipigwa na mawe mpaka kufa walipoingia kwenye vita na shetani.

Unaposema unataka vita na shetani labda pepo ila sio shetani aliyemsulubisha Yesu, vinginevyo utaishia kuchapwa kipigo kitakatifu.
Jiulize je, kama Yesu na nguvu zake zote alisulubishwa vibaya sana wewe atakufanyia jambo gani?
Unasoma haya wapi wewe mwana wa shetani?
 
Watu wengi hasa hapa JF nimejifunza hata hawasomi vyanzo vya mambo ambayo wanayaandika.

Habari za shetani kutoka akiwa katika mlima wa Mungu mpaka kuwa Ibilisi zimeandikwa extensively na Bibilia. Ila kichekesho ni kuwa mtu anasikia stori somewhere labda Youtube kwa mtu then anachomoka na post ikiwa full na opinions zake na kinachofanana na chanzo halisi ni majina tu.

Mfano mtoa mada kamkuza shetani kana kwamba ni praise team ya shetani.
  • Mosi, shetani hajawahi kuwa malaika proper, Shetani ni Kerubi aliyeasi.
  • Pili, shetani hakuwahi kuwa malaika mkuu in any sense. Haya ni mawazo ya watu. Shetani alikuwa ni Kerubi afunikaye. Hakuna mahali Biblia inamtaja kama malaika mkuu
  • Tatu, shetani sio kinyume wala usawa wa Mungu. shetani ni kiumbe tu na hana mamlaka yoyote nje ya kiumbe aliyo nayo. Shetani ana mamlaka kuliko mwanadamu kwa sababu yeye ni kerubi na sisi ni wanadamu. Lakini bado ni kiumbe tu na hana mamlaka yoyote mbele ya Mungu.
  • Nne Ayubu aliyeruhusu ajaribiwe ni Mungu. Kifupi mtu aliyesoma kitabu cha Ayubu sura chache tu atajua mtoa mada hajui anachoandika!
  • Nne Yesu pia hakusulubishwa kwa sababu shetani ana nguvu kama mwana wa Ibilisi alivyoandika. Yesu pale Gethsemane aliomba kwa Baba na si shetani kikombe kimuepuke. Ni Mungu mwenyewe aliyeamua iwe hivyo na shetani mpaka leo hapendi ukweli kwamba Yesu alikufa msalabani. Alichofanywa pale anakijua vizuri sana!

Mwisho niwashauri watu wanaopenda kuandika mambo ya imani, angalau itendee haki basi hayo maandiko unayonukuu badala ya kuchukua kichwa cha habari na kuandika kisichohusiana kabisa!
 
Samahani mkuu, Usimwite mwana wa Shetani bali subiri kwanza akuambie ameyasoma wapi. Akishindwa kujibu hoja yako basi wewe utakuwa uko sahihi. Ni hayo tu.
Sina haja ya kumsubiri maana mambo ya Ayubu na Yesu mwana wa Mungu hujui kayatoa wapi boss?
Mwache amtukuze baba yake!
 
Mitume wangapi wanafumwa wakiwa na makahaba ama niwataje kwamajina?, walevi, wezi, wauwaji? Nguvu walizo nazo ziko wapi?
Hao wote mko kundi moja na baba yenu wote ni ibilisi. So huna haja ya kuwataja ndugu zako. Utawadhalilisha bure tu!

"Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao."
- 2 Wakorintho 11:14-15

Usiwadhalilishe nduguzo, wasitiri!
 
Unasoma haya wapi wewe mwana wa shetani?
Tumeona namna Yesu aligaragazwa na kupokea dharau kali kama wewe ni mwana wa Mungu geuza haya mawe kuwa mkate, kama wewe ni mwana wa Mungu jiokoe msalabani, Adam na Hawa pamoja na onyo kali walilopewa wakaelezwa hilo ni biti tu kuleni hayo matunda na wakala kwahiyo mshindi ni aliyewashawishi kula, Ayubu akachapika waliposema wanamtii Mungu, Mitume ikiwemo Stephano walipigwa mawe hadi kufa walipojaribu kueneza mahubiri.
 
Back
Top Bottom