Usidharau biashara za kifamilia wakati zimekulea!

Usidharau biashara za kifamilia wakati zimekulea!

Ukiona wazee hawakuelewi jua ulikuwa kilaza sana ama mjanja mjanja sana, hamna anaye mjua mwana zaidi ya mzazi
 
bonge la wazo mkuu,embu gonga kiroba hapo nakuja kulipa,ooh basi nyonya balimi kwa mrija nta clear bill
 
Nyie hamjakutana na wazee ma bandidu nyie hasa hawa wazee wetu wa kichagga.

Mzee wa Kichagga atakusomesha mpaka Ulaya au States of America kama hela anayo ila biashara yake hugusi na ukiomba mtaji uanzishe yako hakupi hata Tsh 100. Wengi wao ni wakuda sana.

Usilolijua litakusumbua ndugu. Mi nakumbuka mtaji wa biashara yangu ya kwanza ni Bi. Mkubwa ndio alinipa + a bit of my savings...namuheshimu sana my Mom for that cz ilinifanya hata nikaheshimika. Mdingi baadae sana kuona noma ndio akaanza kunileta karibu. Hela unakuta anayo ila cent 5 ya kufungua biashara hakupi. Baas tu.
Mkuu baba yangu alikuwa msomi mzuri sana ila alikuwa baba mmoja mkuda na yeye kuwa na elimu alikuwa ashauriki wala nini huyo baba alinifanya kuona kama elimu aina muhimu wowote katika maisha aya yani ni msomi na pesa anazo lakini alichoumbiwa awezi kumuamini mtoto wake ata siku moja
 
Je? Uko kwenye kazi ambayo huipendi? Yaani upo upo tu unasubiri saa 11 jioni ifike usepe na tarehe 30 ulipwe? Je? Ni kitu gani kinakujia kichwani mwako mwanzo kabisa ukisikia makampuni haya....Nike, Volkswagen, Louis Vuitton, Samsung, Tata, Foxcon, Ford...au za nyumbani basi...Azam Bakhresa, Manji, Mo...?

Izo zote ni kampuni za kifamilia yaani family owned businesses. Nina uhakika ushavaa viatu vya Nike, ukanunua simu ya Samsung au Iphone, computer za Dell, HP au Apple, ukanywa whisky ya Hennessy, perfumes za mtoni- Christine Dior, Kenzo bila hata kujua anyway yote hayo ni kazi za branding, Azam, Mo, Manji products ndio usiseme wote tumekula hizi!

Inabidi tufikirie jinsi ya kuongeza thamani katika biashara za kifamilia. Kuna wengine wazazi wana tengeneza keki za kufa mtu na kupamba ukumbi matata, wengine wanafuga kuku wanakusomesha unaenda kutafuta kazi benki. Si vibaya ila izo biashara tatu tu nilizotaja unaweza kutengeza mshahara wa mwaka mzima huko benki ndani ya miezi. Think of innovation ya kuongeza kwenye hizi biashara lakini waTanzania wamekuwa wakidharau biashara za kifamilia kama hazina maana wakati zimekusomesha. Mwingine anakuuliza kwani hii biashara ya familia nayo kazi?

Ukweli ni kwamba opportunities Tanzania zipo nyingi ila swala la infrastructure ni issue ya siku ingine.

My 2 cents.
Sure broh nimekupata sana
 
Je? Uko kwenye kazi ambayo huipendi? Yaani upo upo tu unasubiri saa 11 jioni ifike usepe na tarehe 30 ulipwe? Je? Ni kitu gani kinakujia kichwani mwako mwanzo kabisa ukisikia makampuni haya....Nike, Volkswagen, Louis Vuitton, Samsung, Tata, Foxcon, Ford...au za nyumbani basi...Azam Bakhresa, Manji, Mo...?

Izo zote ni kampuni za kifamilia yaani family owned businesses. Nina uhakika ushavaa viatu vya Nike, ukanunua simu ya Samsung au Iphone, computer za Dell, HP au Apple, ukanywa whisky ya Hennessy, perfumes za mtoni- Christine Dior, Kenzo bila hata kujua anyway yote hayo ni kazi za branding, Azam, Mo, Manji products ndio usiseme wote tumekula hizi!

Inabidi tufikirie jinsi ya kuongeza thamani katika biashara za kifamilia. Kuna wengine wazazi wana tengeneza keki za kufa mtu na kupamba ukumbi matata, wengine wanafuga kuku wanakusomesha unaenda kutafuta kazi benki. Si vibaya ila izo biashara tatu tu nilizotaja unaweza kutengeza mshahara wa mwaka mzima huko benki ndani ya miezi. Think of innovation ya kuongeza kwenye hizi biashara lakini waTanzania wamekuwa wakidharau biashara za kifamilia kama hazina maana wakati zimekusomesha. Mwingine anakuuliza kwani hii biashara ya familia nayo kazi?

Ukweli ni kwamba opportunities Tanzania zipo nyingi ila swala la infrastructure ni issue ya siku ingine.

My 2 cents.
wa hindi na waarabu pia wanafanya vizuri kwenye hizi biashara za familia.
ina leta upendo pia kwa ndugu.
 
Mkuu baba yangu alikuwa msomi mzuri sana ila alikuwa baba mmoja mkuda na yeye kuwa na elimu alikuwa ashauriki wala nini huyo baba alinifanya kuona kama elimu aina muhimu wowote katika maisha aya yani ni msomi na pesa anazo lakini alichoumbiwa awezi kumuamini mtoto wake ata siku moja

Aah wanaboa sana man. Mimi Kamwe siwez lalama on the academic side of my father....ametusupport sana sisi wanae kutusomesha hata nnje ni yeye katulipia kwenda, kila kitu ata finance mpaka graduation party et al ....ila the funny thing kukuwezesha kibiashara anakua mgumu hataki kabisa....ilimchukua muda sana kutoa support but ni out of shame and guilt....by then Bi. Mkubwa alikua keshatusogeza sana. Ila ile kwa upande mwingine imenisaidia sana kuwa na nidhamu ya hela.
 
Aah wanaboa sana man. Mimi Kamwe siwez lalama on the academic side of my father....ametusupport sana sisi wanae kutusomesha hata nnje ni yeye katulipia kwenda, kila kitu ata finance mpaka graduation party et al ....ila the funny thing kukuwezesha kibiashara anakua mgumu hataki kabisa....ilimchukua muda sana kutoa support but ni out of shame and guilt....by then Bi. Mkubwa alikua keshatusogeza sana. Ila ile kwa upande mwingine imenisaidia sana kuwa na nidhamu ya hela.
Afadhali ww baba yangu pesa anazo katipeleka shule za kawaida tu yeye kunywa tu ndiyo maana naichukia pombe zaidi ya shetani ndiyo iliyo muaribu kabisa na kumuuwa
 
Nilmkuta kaka yangu anafanya local money lender nikamshauri tukafungua microcredit company. Ni miaka minne sasa tumepiga hatua kubwa sana hata kazi niliacha, atleast now naitendea haki BCOM.Finance yangu.
 
Ukitoa ushauri unaambiwa hizi mali zangu mimi...sasa kwani mimi nimesema ni za kwangu ndo mana watanzania wenye asili ya kiafrica hatuendelei kabisa...
Mentality za kijamaa, Ujamaa uko kichwani mwetu bado
 
Maada yako umeileta wakati muafaka! Tutajifunza kwa wahindi hakika tutafika! Wala tusitie hofu kwani Maulana Mola wetu ametuangazia uso wake na ametubariki milele yote! Believe me!
 
Je? Uko kwenye kazi ambayo huipendi? Yaani upo upo tu unasubiri saa 11 jioni ifike usepe na tarehe 30 ulipwe? Je? Ni kitu gani kinakujia kichwani mwako mwanzo kabisa ukisikia makampuni haya....Nike, Volkswagen, Louis Vuitton, Samsung, Tata, Foxcon, Ford...au za nyumbani basi...Azam Bakhresa, Manji, Mo...?

Izo zote ni kampuni za kifamilia yaani family owned businesses. Nina uhakika ushavaa viatu vya Nike, ukanunua simu ya Samsung au Iphone, computer za Dell, HP au Apple, ukanywa whisky ya Hennessy, perfumes za mtoni- Christine Dior, Kenzo bila hata kujua anyway yote hayo ni kazi za branding, Azam, Mo, Manji products ndio usiseme wote tumekula hizi!

Inabidi tufikirie jinsi ya kuongeza thamani katika biashara za kifamilia. Kuna wengine wazazi wana tengeneza keki za kufa mtu na kupamba ukumbi matata, wengine wanafuga kuku wanakusomesha unaenda kutafuta kazi benki. Si vibaya ila izo biashara tatu tu nilizotaja unaweza kutengeza mshahara wa mwaka mzima huko benki ndani ya miezi. Think of innovation ya kuongeza kwenye hizi biashara lakini waTanzania wamekuwa wakidharau biashara za kifamilia kama hazina maana wakati zimekusomesha. Mwingine anakuuliza kwani hii biashara ya familia nayo kazi?

Ukweli ni kwamba opportunities Tanzania zipo nyingi ila swala la infrastructure ni issue ya siku ingine.

My 2 cents.
Umesema kweli japo umemalizia visivyo.

Shida kubwa ni mentality ya wizi , ubadhirifu na ubinafsi.

Unakuta mtu anakataa kulima shamba la kwao lakini yuko radhi kwenda kulima vibarua kwa jirani.
 
Mkuu baba yangu alikuwa msomi mzuri sana ila alikuwa baba mmoja mkuda na yeye kuwa na elimu alikuwa ashauriki wala nini huyo baba alinifanya kuona kama elimu aina muhimu wowote katika maisha aya yani ni msomi na pesa anazo lakini alichoumbiwa awezi kumuamini mtoto wake ata siku moja

inasikitisha! but such is life
 
Back
Top Bottom