system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
- Thread starter
-
- #21
Muache aendelee kuimba somehowsiyo somehow, jamaa yuko sawa kabisa
Engineers hasa huko tanesco, wanamsomesha technician, akimaliza anarudi kuwa Engineer
technician(na artisan) nafasi za ajira nyingi maana yeye ni mzalishaji
Nimesoma comments zako mbili tofauti....nime conclude upo somehow 'frustrated'. Anyway pole it's part of lifeDegree wanakosa ajira kisa mshahara, sio blah blah Unazo sema wee hapa.
Dip ya nini ?Umesema kweli lkn F 4 anasoma Dip kwa miaka 3 sio miwili
Kutoka CO kwenda MD kwa miaka hii ni kwa mbinde sana.Fafanua kidogo. Naonaga kama inakomea kwenye Clinical Medicine....kuanzia pale kwenda kuwa MD inawezekana lakini wana complicate mno
Ndio washakosa sasa, the end justify the mean.Hao wanapewa vipaumbele sababu ya vimishahara vinavyolipwa kwenye hio sehemu wanayotoa ajira, wanaona kabisa wewe na degree yako pamoja na huo mshahara watakaokupa lazima kazi utafanya kimagumashi
Sana. Wale MD wanawabania sana wenzao ku upgrade....sana sana yaaniKutoka CO kwenda MD kwa miaka hii ni kwa mbinde sana.
Shortcut hii haiwahusu wale wanaotaka kuwa academicians etc.....
Mlango wa CO kwenda MD ni mwembamba sana.Sana. Wale MD wanawabania sana wenzao ku upgrade....sana sana yaani
Wakuda sanaMlango wa CO kwenda MD ni mwembamba sana.
Mimi chuo nilisoma na waliotoka diploma first class mbona walikuwa wanakula sup alafu tuliotoka 6 tunalala bweni tu na ma Gpa ya juuCheti kikubwa kuliko chote ni cheti cha F.4 hiki wengi hawajui. Kimsingi cheti cha F.6 hakina ishu kabisa labda kwa wale wanaopenda mambo ya afya zaidi maana hiki cheti kina matter sana huko.
Hakikisha F.4 unakung'uta Div 1 kali ajabu somewhere around point 7, 8, 9 na kuishia 14.
Then, nenda chuo anza a professional life; yaani anzia Diploma ya ndoto zako miaka miwili hapa.
Kikawaida, kukamulia Diploma huwa ni nyepesi sana ku score Grade nzuri (ceteris peribus) yaani First Class.
Then, endelea na Degree yako miaka 3 na kuendelea...kaamua pia ukiweza ila cha muhimu usikose upper second.
Hapo shule imeisha. Tunaenda mtaani kusaka ajira.
======
Tupo mtaani. Ajira zinatangazwa na Diploma....unaingiza Team gamba la Degree unaliweka mafichoni.
Shortlist inaanza.....trust me huwezi kukosekana. Why? Cheti chako cha F.4 ni kizuri mno kitakubeba. Ujue wengi wanaopenda kuunga unga vi certificate na vi diploma ni wale ambao F.4 walizingua hivyo ww unaibuka na kupitia katikati yao.....are you getting the logic?
Interview umeitwa.....unapiga interview kwa exposure za ki degree maana kimsingi ni kweli una degree. Trust me unashinda na unaajiriwa.....mbeleni huko unapenyeza gamba rasmi kuendana na utamaduni wa eneo lako la kazi...hii sio dhambi.
Nikusaidie kukumbusha....graduates mtaani ni 'saturated' tunaweza kusema hivyo ki kemia.
Part two......
Mtu aliyeanzia mazaga yake Diploma akiwa mzima kichwani ana nafasi nzuri zaidi ya kukamua jiwe (Degree) bila kutaabika sana.
Mtu aliyeanzia Dip pia ana uwezo mkubwa wa kuwa na exposure ya madude yake kwa kuwa alianza kuhangaika nayo kitambo since Diploma.
Note: Kama una ndoto za masuala ya ki afya hii route sishauri itumike.
Niite system hacker
Hawatanielewa mpaka kitaa kiwape elimu kwanza live in hard wayCheti kikubwa kuliko chote ni cheti cha F.4 hiki wengi hawajui. Kimsingi cheti cha F.6 hakina ishu kabisa labda kwa wale wanaopenda mambo ya afya zaidi maana hiki cheti kina matter sana huko.
Hakikisha F.4 unakung'uta Div 1 kali ajabu somewhere around point 7, 8, 9 na kuishia 14.
Then, nenda chuo anza a professional life; yaani anzia Diploma ya ndoto zako miaka miwili hapa.
Kikawaida, kukamulia Diploma huwa ni nyepesi sana ku score Grade nzuri (ceteris peribus) yaani First Class.
Then, endelea na Degree yako miaka 3 na kuendelea...kaamua pia ukiweza ila cha muhimu usikose upper second.
Hapo shule imeisha. Tunaenda mtaani kusaka ajira.
======
Tupo mtaani. Ajira zinatangazwa na Diploma....unaingiza Team gamba la Degree unaliweka mafichoni.
Shortlist inaanza.....trust me huwezi kukosekana. Why? Cheti chako cha F.4 ni kizuri mno kitakubeba. Ujue wengi wanaopenda kuunga unga vi certificate na vi diploma ni wale ambao F.4 walizingua hivyo ww unaibuka na kupitia katikati yao.....are you getting the logic?
Interview umeitwa.....unapiga interview kwa exposure za ki degree maana kimsingi ni kweli una degree. Trust me unashinda na unaajiriwa.....mbeleni huko unapenyeza gamba rasmi kuendana na utamaduni wa eneo lako la kazi...hii sio dhambi.
Nikusaidie kukumbusha....graduates mtaani ni 'saturated' tunaweza kusema hivyo ki kemia.
Part two......
Mtu aliyeanzia mazaga yake Diploma akiwa mzima kichwani ana nafasi nzuri zaidi ya kukamua jiwe (Degree) bila kutaabika sana.
Mtu aliyeanzia Dip pia ana uwezo mkubwa wa kuwa na exposure ya madude yake kwa kuwa alianza kuhangaika nayo kitambo since Diploma.
Note: Kama una ndoto za masuala ya ki afya hii route sishauri itumike.
Niite system hacker
Hujaelewa kilichoandikwa. Unaonaje ukisoma tena na tena.Mimi chuo nilisoma na waliotoka diploma first class mbona walikuwa wanakula sup alafu tuliotoka 6 tunalala bweni tu na ma Gpa ya juu
Fuata mfumo F.6 inaadvantage yake
Mtaa upo watakutana naoHawatanielewa mpaka kitaa kiwape elimu kwanza live in hard way
Upo sahihi mkuu...nimekumbuka mwaka fulani kuna kiwanda kilikua kijajengwa maeneo fulani pakahitajikaJamaa yuko sahihi lkn kuna mahali kambwela...Nikupe mfano sisi wa idara ya engineeering...Kuna baadh ya Taasis (haswa amabazo vina mandhar ya uviwanda uviwanda..ex. Tanesco..TPA..TRC ) ni ngumu sanaa sanaa sanaa kusikia wanataka engineer mara nyingi huwa wanachukua technician na artisan then mbeleni wakitaka engineer wanachukua ndani ya kiwanda (yn wanapandisha wale wa dip au artsan wenye degree zao) so Kupitia diploma nafikir kuna exposure kubwa kwny masuala ya ajira...then ata waajir wa sekta binafs wanaamin kuliko kuwa na mtu wa degree mmoja bora achukue wa dip wa2 ili ufanisi wa kaz uongezeke...ndomana uwez kuta sehem wanaitajika maengineer 30 ( ukikuta hvo labda intern) ...ngoja niishie hapo ila jamaa somehow yuko sawaa
Hujaelewa kilichoandikwa. Unaonaje ukisoma tena na tena.
Hints: Kikawaida wanaokwenda Dip ni wale walioshindwa kufanya vizuri zaidi F.4. Siwazungumzii hawa.
Bali nawazungumzia vipanga wa Div 1 pt 7 mwisho 14 waende Dip. Sioni ni kwa namna gani wewe mwenye utakuwa na umaalum wa kusoma bwenini upige GPA kali umuache mwenye Dip na Div 1 yake ya pt 7? Sioni....labda itokee kazembea kimasomo tu ila sio eti umemzidi kwa akili za kimasomo