Usifanye biashara na mtu aliyeondoa blue tick WhatsApp

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Ukiona Mfanyabiashara hana bluetick ogopa sana huyo ni tapeli hata ukinunua mali kwake ukikuta mbovu jua ndio bye bye.

Kuna mstari mwembamba sana pia uliowatenganisha watu wanaoondoa bluetick na kujisikia,ubinafsi,utapeli na roho mbaya be carefull mtandao unauwezo wa kukutambulisha tabia ya mtu.
 
Hata kwa marafiki zangu, nikishaona ambae ameondoa bluetick huwa nakuwa naye makini.
 
💯✍️✍️✍️
 
Tunaofanya ujasiriamali huwa tunaondoa last seen pekee, sio blue tick. Last seen mimi naondoa ili siku nikiwa busy mtu asije WhastApp akaona sikuwa online muda mrefu akaacha. Nataka aamini nitajibu soon. Ila bluetick sitoi thou ads huwa hawaweki blue tick mpaka ujibu mara ya kwanza.

Mimi kuna about/username ukija nayo sijui Hunter, Nana, Killer, Mnyama, ma-Junior junior hayo nakuweka kundi fulani. Mara nyingi mteja wa username kama Erastus Kache, au Hamisi Mwinyimkuu at least humpi doubt.

Kwenye mahusiano ndio kabisa, unaficha blue tick, unatumia mods za WhatsApp ni red flag. Unadai "no one can judge me" kwani umetoa mimba?
 
Mnataka mjue nini kwani, kuna kipindi nilitoa hiyo blue tick, last seen, yani nilikuwa nimejificha kweli kweli,
 
Wote wanaotoa blue tick na kujificha ficha, wanatabia za kitoto au ushamba wa mitandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…