Usifanye Haya Unapovaa Barakoa

Usifanye Haya Unapovaa Barakoa

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
KWA IMANI TUTASHINDA DHIDI YA CORONA
BARAKOA.png
 
Mie sijui kwa nini napata shida kutoshika uso hususani pua maana toka Corona iingie nnchini nimegundua pua yangu inawasha kila mda na nikivaa barakoa ndio inazidi kabisa.

Hizi barakoa za vitambaa nazo hazina sifa basi tu jana nimepiga chafya maji maji yameruka kutoka ndani ya barakoa mpaka nje ya barakoa. Nikapiga chafya mara ya pili mpaka barakoa imerushwa kule, kwa kweli watafute tu dawa ya Corona ni ngumu sana kutoshika pua. Mungu asaidie. .
 
Mi siwezi kukaa muda mrefu bila ya kufikicha macho
Nalog off
 
NMEJIKUTA NACHEKA TUUUUUUUUU
Mie sijui kwa nini napata shida kutoshika uso hususani pua maana toka Corona iingie nnchini nimegundua pua yangu inawasha kila mda na nikivaa barakoa ndio inazidi kabisa.

Hizi barakoa za vitambaa nazo hazina sifa basi tu jana nimepiga chafya maji maji yameruka kutoka ndani ya barakoa mpaka nje ya barakoa. Nikapiga chafya mara ya pili mpaka barakoa imerushwa kule, kwa kweli watafute tu dawa ya Corona ni ngumu sana kutoshika pua. Mungu asaidie. .
 
Back
Top Bottom