Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Najua ila nachomaanisha nikuwa wajue humuhimu wako hivi unajua wanachokipandikiza wanawake kwa watoto
Wanawake wanawaambia watoto ujinga sana😁 sema kwa damu yangu mimi huo ujinga sidhani kama utafua dafu.

Nina binti yangu ambaye akikua atakuwa jembe langu hata mama yake akileta fyoko tutaishi tu mtu wa kunipikia na kunifulia yupo tayari. Mwanamke akizaa toto la kiume akalijaza ujinga ndio unakuwa umekula hasara full suit!
 
Asilimia kubwa ya migogoro inayovunja ndoa ni wanamke kuwa na financial freedom.
Mwanamke akiwa na uhakika wa kuendesha maisha yake bila msaada wa mwanaume lazima kiumane.
 
Za maamko

Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu

Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa

Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali

Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba

Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
Kuna mwamba alifanya hivi sasa hivi anakopa hela kwa watu ili tu asitumie hela za mke wake kumuonyesha kwamba hamtegemei..
 
Back
Top Bottom