Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Hahaa ngoja nikusemee kwa Mudi.kumbe bado unazubaa
nitakupitia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa ngoja nikusemee kwa Mudi.kumbe bado unazubaa
nitakupitia
Ipo siku utakuja kutoa kilio cha3 Mbwa .Sema Kwa mkeo
Sisi wake zetu wana akili
Huyu kijana mawazo yake yapo sahihi??Kijana umeoa kimya kimya?
Wanawake wanawaambia watoto ujinga sana😁 sema kwa damu yangu mimi huo ujinga sidhani kama utafua dafu.Najua ila nachomaanisha nikuwa wajue humuhimu wako hivi unajua wanachokipandikiza wanawake kwa watoto
Ni kweli anaweza hata akaangukiwa na ghorofa 🤣Hatakiwi kujua mambo yote na swala la kufa je akitangulia yeye?
Na ukawajulisha hadi wasiotakiwa kujua!??Ahahaha nilikuww nawaambia wasio jua pia
🤣🤣🤣🤣Kwa tulipofikia, endeleeni tu kuteseka tunaishi kwa kuviziana.
Sijui wanatuchukuliaje hawa🤣🤣🤣Sio mwanamke wa kizazi cha sasa.
Kuna mwamba alifanya hivi sasa hivi anakopa hela kwa watu ili tu asitumie hela za mke wake kumuonyesha kwamba hamtegemei..Za maamko
Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu
Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa
Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali
Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba
Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
Hahaha! HapanaHuyu kijana mawazo yake yapo sahihi??
Ni kwamba mtu ana mke wake huko mlugaluga kazubaa hajui A wala B wanadhani wanawake wote wapo hivyo.Sijui wanatuchukuliaje hawa🤣🤣🤣
Ukiona mwanamke anakuwa hivyo kuna uwezekano mkubwa kabla hajajipata ulikuwa humtunzi ipasavyo na kama unamtunza basi ni kwa manyanyaso.Asilimia kubwa ya migogoro inayovunja ndoa ni wanamke kuwa na financial freedom.
Mwanamke akiwa na uhakika wa kuendesha maisha yake bila msaada wa mwanaume lazima kiumane.
sheria nyingi sana kwenye haya mamboUkiona mwanamke anakuwa hivyo kuna uwezekano mkubwa kabla hajajipata ulikuwa humtunzi ipasavyo na kama unamtunza basi ni kwa manyanyaso.
Make sure u r tall dark and handsome 🤣🤣🤣🤣kumbe bado unazubaa
nitakupitia