Usifuate mkumbo, zifuatazo ni baadhi ya sifa za wanaopinga ndoa

Usifuate mkumbo, zifuatazo ni baadhi ya sifa za wanaopinga ndoa

Vijana muoe na kuoana. Ukimtanguliza Mungu, utagundua ni mapepo tu ndio yako nyuma ya sauti na maandishi unayosikia yakipinga ndoa.
Hakuna mahali kwenye vitabu vyake vitakatifu Mungu amesema lazima kuoa au kuolewa. Mfano Yesu na Paulo waliamua kutooa.

Hata Paulo kuna sehemu anasema kama mkiweza kubaki kama mimi yaani kutooa akasema ni sawa tu
 
Wanaume ndiyo wameonesha kuguswa zaidi na hii kampeni ya kukataa ndoa inayohamasishwa na wanaume wenzao!

Nilitegemea wanawake ndiyo wangechachamaa!
 
Hahahahaha soma kwa utulivu. Usisome kwa mihemko, Rudi kasome Biblia Yako, mbona Iko wazi kabisa? Au ubishi tu wa asubuhi??
Ukilielewa hili andiko naamini utaondoa hayo mawazo yako mgando

2 Timotheo 3:16-17 SRUV​

16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;

17 ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema
 
Ukilielewa hili andiko naamini utaondoa hayo mawazo yako mgando

2 Timotheo 3:16-17 SRUV​

16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;

17 ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema
Amen ila Mimi namzungumzia Paul, sio Kila kitu cha Paul kilikua addressed kwetu sote, anyway, Vijana oeni! Acha kushabikia ujinga
 
Amen ila Mimi namzungumzia Paul, sio Kila kitu cha Paul kilikua addressed kwetu sote, anyway, Vijana oeni! Acha kushabikia ujinga
Bado haujalielewa hilo andiko

Kwa kifupi ni hivi ni kweli kuwa baadhi ya vitabu vya Biblia vililenga watu fulani

Lakini hekima iliyoko kwenye hayo mandiko bado inatumika hadi leo. Ndio maana mwandishi akasema kila andiko lafaa kwa mafundisho

Ukisema kama unavyomaanisha wewe ina maana leo Biblia haina maana yoyote
 
Ndoa n kamari. Unaweza pata mtu sahihi na husipate.
Wapo mnaofurahia ndoa na wapo wanalia sababu ya ndoa.
Usitake kumziba mdomo anayelia ndoani sababu wewe unacheka. Ama usilete hoja mbaya sababu wewe unateseka nayo.

Tuwaambie ukweli wanaotegemea kuoa kuwa ni kubahatisha tu. Wasitumie safari ya upenzi/uchumba ndio itakavyokuwa ndoani. Mambo ubadilika sana. Yanaweza kuwa maigizo mwanzoni

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
1; Waliochezea nafasi za ndoa na sasa wakati umepita nawamekata tamaa.

2: Wanaotumia muda mwingi kusoma na kufuatilia mambo hasi kuhusu ndoa. Kwa hiyo wanadistorted view kuhusu ndoa. Akili zao ndio zina matatizo sio ndoa.

3: Walioathiliwa na vuguvugu la upinde wa mvua duniani. Vuguvugu hili limejielekeza kufuta hamu ya ndoa na kuleta gender confusion katika akili za vijana wasiojitambua.

4: Wanandoa walioachika au kuachana kwa sababu za kujitakia, au kusalitiwa. Sasa uzoefu wao binafsi wanataka kuuhamishia kwa dunia nzima.

Vijana muoe na kuoana. Ukimtanguliza Mungu, utagundua ni mapepo tu ndio yako nyuma ya sauti na maandishi unayosikia yakipinga ndoa.
Huu upinde wa mvua ni hatari sana, unawapinda vijana
 
1; Waliochezea nafasi za ndoa na sasa wakati umepita nawamekata tamaa.

2: Wanaotumia muda mwingi kusoma na kufuatilia mambo hasi kuhusu ndoa. Kwa hiyo wanadistorted view kuhusu ndoa. Akili zao ndio zina matatizo sio ndoa.

3: Walioathiliwa na vuguvugu la upinde wa mvua duniani. Vuguvugu hili limejielekeza kufuta hamu ya ndoa na kuleta gender confusion katika akili za vijana wasiojitambua.

4: Wanandoa walioachika au kuachana kwa sababu za kujitakia, au kusalitiwa. Sasa uzoefu wao binafsi wanataka kuuhamishia kwa dunia nzima.

Vijana muoe na kuoana. Ukimtanguliza Mungu, utagundua ni mapepo tu ndio yako nyuma ya sauti na maandishi unayosikia yakipinga ndoa.
b5321dfc4f3f8da2987e6a4d9f4e95ad.jpg
 
Hakuna mahali kwenye vitabu vyake vitakatifu Mungu amesema lazima kuoa au kuolewa. Mfano Yesu na Paulo waliamua kutooa.

Hata Paulo kuna sehemu anasema kama mkiweza kubaki kama mimi yaani kutooa akasema ni sawa tu
Mkuu Yesu aliweza yashinda majaribu yote na mtume Paul pia

Na ndo maana katika kitab chake mtume Paul alisema kama huwez yashinda majaribu ni heri uoe

Asa wewe mwenzangu na mm akipita tu kajala hapo ushawasha kengele rafiki angu 😂😂😂😂 afu huon dhambi kujilinganisha na YESU em acha maramoja rafiki.
 
Mkuu Yesu aliweza yashinda majaribu yote na mtume Paul pia

Na ndo maana katika kitab chake mtume Paul alisema kama huwez yashinda majaribu ni heri uoe

Asa wewe mwenzangu na mm akipita tu kajala hapo ushawasha kengele rafiki angu 😂😂😂😂 afu huon dhambi kujilinganisha na YESU em acha maramoja rafiki.
Mtu yupo kwenye ndoa anajifanya kayashinda majaribu lakini huko nje ana michepuko kama yote

Sasa kuna tofauti gani na ambaye hajaoa lakini ana mademu?
 
Mtu yupo kwenye ndoa anajifanya kayashinda majaribu lakini huko nje ana michepuko kama yote

Sasa kuna tofauti gani na ambaye hajaoa lakini ana mademu?
Hilo wasema wewe but concern yangu ni tofauti

I was talking about your claim on apostle Paul only
 
Back
Top Bottom