Usifurahie Uteuzi bali Sikitika kwani Dossiers zako zimeonyesha Wewe ni Tishio na waliokuwa nyuma yako

Usifurahie Uteuzi bali Sikitika kwani Dossiers zako zimeonyesha Wewe ni Tishio na waliokuwa nyuma yako

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tena kama kuna Kipindi unatakiwa uwe makini ni sasa kwakuwa hata akina GENTAMYCINE tulipokuwa Kozi kule Venezuela na Kisiwani Puerto Rico tulifundishwa kuwa ukitaka Kummaliza Adui yako onyesha Upendo na Heshima ya Kinafiki Kwake, Msogeze karibu, Msome, wajue Watu wake wa Mikakati, mjaze Upepo ( Sifa ) ili Kumheshimisha ili abweteke na ajisahau halafu baadae kanisa Wazee wa Kazi watamaliza Shughuli taratibu na Ukanda wenye Kisasi utakosa Nguvu huku Ukanda wa Pwani na Baharini ukiendelea Kutamba bila ya kuwa na Hofu yoyote kuanzia sasa 2023 na hasa hasa 2025 kuelekea 2030.

Ewe Mwenyezi Mungu nibariki na Mimi GENTAMYCINE nipate Mwanamke atakayenizalia Watoto Mapacha na wasiwe Weupe bali wawe Weusi wa Kutukuka kama Mimi Baba yao wa kutoka Kanda ya Ziwa Victoria.
 
Tena kama kuna Kipindi unatakiwa uwe makini ni sasa kwakuwa hata akina GENTAMYCINE tulipokuwa Kozi kule Venezuela na Kisiwani Puerto Rico tulifundishwa kuwa ukitaka Kummaliza Adui yako onyesha Upendo na Heshima ya Kinafiki Kwake, Msogeze karibu, Msome, wajue Watu wake wa Mikakati, mjaze Upepo ( Sifa ) ili Kumheshimisha ili abweteke na ajisahau halafu baadae kanisa Wazee wa Kazi watamaliza Shughuli taratibu na Ukanda wenye Kisasi utakosa Nguvu huku Ukanda wa Pwani na Baharini ukiendelea Kutamba bila ya kuwa na Hofu yoyote kuanzia sasa 2023 na hasa hasa 2025 kuelekea 2030.

Ewe Mwenyezi Mungu nibariki na Mimi GENTAMYCINE nipate Mwanamke atakayenizalia Watoto Mapacha na wasiwe Weupe bali wawe Weusi wa Kutukuka kama Mimi Baba yao wa kutoka Kanda ya Ziwa Victoria.


Umesema Ukweli.


Tena ningekua Mimi, siku ya kunipa kiti kizima rasmi nakataa kwa heshima, naomba kiti kingine ama kupumzika kwa hiyari.

Tena na umri unamruhusu, patience & resilience are his strength & support.

Lakini…… labda akili anayo, maana ile mishale ya kipindi kile iliyokua inatupwa hovyo kwa wenzake na wengi ikawapata, yeye kaikwepa mpaka leo. Ama kakwepeshwa makusudi?
 
Back
Top Bottom