GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tena kama kuna Kipindi unatakiwa uwe makini ni sasa kwakuwa hata akina GENTAMYCINE tulipokuwa Kozi kule Venezuela na Kisiwani Puerto Rico tulifundishwa kuwa ukitaka Kummaliza Adui yako onyesha Upendo na Heshima ya Kinafiki Kwake, Msogeze karibu, Msome, wajue Watu wake wa Mikakati, mjaze Upepo ( Sifa ) ili Kumheshimisha ili abweteke na ajisahau halafu baadae kanisa Wazee wa Kazi watamaliza Shughuli taratibu na Ukanda wenye Kisasi utakosa Nguvu huku Ukanda wa Pwani na Baharini ukiendelea Kutamba bila ya kuwa na Hofu yoyote kuanzia sasa 2023 na hasa hasa 2025 kuelekea 2030.
Ewe Mwenyezi Mungu nibariki na Mimi GENTAMYCINE nipate Mwanamke atakayenizalia Watoto Mapacha na wasiwe Weupe bali wawe Weusi wa Kutukuka kama Mimi Baba yao wa kutoka Kanda ya Ziwa Victoria.
Ewe Mwenyezi Mungu nibariki na Mimi GENTAMYCINE nipate Mwanamke atakayenizalia Watoto Mapacha na wasiwe Weupe bali wawe Weusi wa Kutukuka kama Mimi Baba yao wa kutoka Kanda ya Ziwa Victoria.