Usigawe DNA yako kihuni

Usigawe DNA yako kihuni

Mtu mzima unaona fahari kujisifia kwamba wewe ni mzinzi forever. Inasikitisha sana.
Biblia imesema kwa watao jaaliwa n'a wasiojaaliwa .mungu hakuumba wote tuoe asingeumba wagumba n'a vibamia kuna maisha nje ya kuwa baba wa familia wagunduzi wa mambo mazito wengi hawakuoa .wafuasi wa yesu waliachana n'a habari za familia .Paulo msambazaji mkuu wa huo ukristo hakuwahi oa wala zaa .yesu n'a manabii hawakuoa
 
Hakuna great thinker mtz anayeishi tanzania.
Mkuu i disapprove
My uncle was a great thinker but he moved from Europe to tz and chose a village life.
If i portray his CV here then I'll reveal my identity, am sorry but I'll have to disapprove that
 
Biblia imesema kwa watao jaaliwa n'a wasiojaaliwa .mungu hakuumba wote tuoe asingeumba wagumba n'a vibamia kuna maisha nje ya kuwa baba wa familia wagunduzi wa mambo mazito wengi hawakuoa .wafuasi wa yesu waliachana n'a habari za familia .Paulo msambazaji mkuu wa huo ukristo hakuwahi oa wala zaa .yesu n'a manabii hawakuoa
Pia hatujaambiwa tujisifie kuwa wazinzi na kuhamasisha wengine wawe wazinzi kama sisi, upo hapo ?
 
Mkuu i disapprove
My uncle was a great thinker but he moved from Europe to tz and chose a village life.
If i portray his CV here then I'll reveal my identity, am sorry but I'll have to disapprove that
Why was he not in Tz in the first place ?

Unaposema he wasnt in Tz unaungana na mimi kuhitimisha kwamba great thinkers hawez ishi kwenye hili taifa lenu la vilaza labda aje vacation kama huyo ankoli wako.
 
Tanzania kuna mtu mwenye akili?

Au kuna watu wenye uwezo wa kutafuta X na kusolve Physics

Una akili halafu unanunua mabehewa used kwa 3billions

Una akili tena umemaliza UDSM unasifia ujinga na wengi ni Machawa wa CCM, wamejaa twita

Una akili halafu unaogopa kufukuzwa kazi
Mkuu tengua kauli yako, wenye akili tuko , wengi sana, ni vile hatupewi heshima zetu, hata wew kama umeweza kuwagundua wajinga basi wew pia si sehemu ya hao wajinga, maana wajinga hawana uwezo wa kujitofautisha.

Back to topic, ni laana kubwa kuruhusu ama kwa bahati mbaya kuzaa na mtu asieeleweka, iwekwe wazi kuwa, si kila mtu hapa dunian ni wakujihusisha nae.

Haya mapooza ya raia mitaani wasio na akili timamu za kung'amua jema na zuri ndio hayo matokeo ya wazazi wao kutoshughulikia zoezi la uchaguzi wa mwenza, kuchaguana hovyo na kuzaa hovyo bila mpangilio ni matokeo ya uzao wa watoto wa hovyo.

Unapozaa na mtu ambaye hakuwa tyr kuzaa automatic hata toto litakalozaliwa lzma akili ziathirike kisaikolojia, matokeo yake kukosa kbsa uwezo wa kiakili.

Kubambia kila mwanamke na akakutegeshea mimba bila ya wew kujua, na baadae afanye kama kukukomoa ama kutaka kubeba mimba kilazima, na wew ukachukizwa na jambo hilo na kugoma kutoa sapoti ktk malezi, unadhani ilo toto likizaliwa litakuaa sawa kiakili?

Kwa huruma tuwatoe single mother waliokimbiwa na wanaume wasiowajibika, hawa wanawake mara nyingi watoto zao wanabarikiwa akili na utajiri, mifano mnayo, lkn kuna haya mazao ya hawa wasiojua kutenganisha uovu na wema, na ndio hao hao wanapata na nafasi za kuongoza nchi, automatic hata maendeleo lazima yawe ya hovyo.

Jithamini, hakikisha unazaa kwa mpango, kama unajijua wew ni mpenda ngono, hakikisha unaeshiriki nae habebi ujauzito bila ww kutaka.

Nawewe mwanamke hakikisha huzai na mwanaume fala, asiyejua thaman yako wala uwajibikaji, hakikisha hushiriki ngono na watu wa hovyo.
 
Mkuu tengua kauli yako, wenye akili tuko , wengi sana, ni vile hatupewi heshima zetu, hata wew kama umeweza kuwagundua wajinga basi wew pia si sehemu ya hao wajinga, maana wajinga hawana uwezo wa kujitofautisha.

Back to topic, ni laana kubwa kuruhusu ama kwa bahati mbaya kuzaa na mtu asieeleweka, iwekwe wazi kuwa, si kila mtu hapa dunian ni wakujihusisha nae.

Haya mapooza ya raia mitaani wasio na akili timamu za kung'amua jema na zuri ndio hayo matokeo ya wazazi wao kutoshughulikia zoezi la uchaguzi wa mwenza, kuchaguana hovyo na kuzaa hovyo bila mpangilio ni matokeo ya uzao wa watoto wa hovyo.

Unapozaa na mtu ambaye hakuwa tyr kuzaa automatic hata toto litakalozaliwa lzma akili ziathirike kisaikolojia, matokeo yake kukosa kbsa uwezo wa kiakili.

Kubambia kila mwanamke na akakutegeshea mimba bila ya wew kujua, na baadae afanye kama kukukomoa ama kutaka kubeba mimba kilazima, na wew ukachukizwa na jambo hilo na kugoma kutoa sapoti ktk malezi, unadhani ilo toto likizaliwa litakuaa sawa kiakili?

Kwa huruma tuwatoe single mother waliokimbiwa na wanaume wasiowajibika, hawa wanawake mara nyingi watoto zao wanabarikiwa akili na utajiri, mifano mnayo, lkn kuna haya mazao ya hawa wasiojua kutenganisha uovu na wema, na ndio hao hao wanapata na nafasi za kuongoza nchi, automatic hata maendeleo lazima yawe ya hovyo.

Jithamini, hakikisha unazaa kwa mpango, kama unajijua wew ni mpenda ngono, hakikisha unaeshiriki nae habebi ujauzito bila ww kutaka.

Nawewe mwanamke hakikisha huzai na mwanaume fala, asiyejua thaman yako wala uwajibikaji, hakikisha hushiriki ngono na watu wa hovyo.
Mkuu Asante sana kwa kuieleza message yangu kwa marefu na mapana
With regards FlyingDutchman
 
Mkuu tengua kauli yako, wenye akili tuko , wengi sana, ni vile hatupewi heshima zetu, hata wew kama umeweza kuwagundua wajinga basi wew pia si sehemu ya hao wajinga, maana wajinga hawana uwezo wa kujitofautisha.

Back to topic, ni laana kubwa kuruhusu ama kwa bahati mbaya kuzaa na mtu asieeleweka, iwekwe wazi kuwa, si kila mtu hapa dunian ni wakujihusisha nae.

Haya mapooza ya raia mitaani wasio na akili timamu za kung'amua jema na zuri ndio hayo matokeo ya wazazi wao kutoshughulikia zoezi la uchaguzi wa mwenza, kuchaguana hovyo na kuzaa hovyo bila mpangilio ni matokeo ya uzao wa watoto wa hovyo.

Unapozaa na mtu ambaye hakuwa tyr kuzaa automatic hata toto litakalozaliwa lzma akili ziathirike kisaikolojia, matokeo yake kukosa kbsa uwezo wa kiakili.

Kubambia kila mwanamke na akakutegeshea mimba bila ya wew kujua, na baadae afanye kama kukukomoa ama kutaka kubeba mimba kilazima, na wew ukachukizwa na jambo hilo na kugoma kutoa sapoti ktk malezi, unadhani ilo toto likizaliwa litakuaa sawa kiakili?

Kwa huruma tuwatoe single mother waliokimbiwa na wanaume wasiowajibika, hawa wanawake mara nyingi watoto zao wanabarikiwa akili na utajiri, mifano mnayo, lkn kuna haya mazao ya hawa wasiojua kutenganisha uovu na wema, na ndio hao hao wanapata na nafasi za kuongoza nchi, automatic hata maendeleo lazima yawe ya hovyo.

Jithamini, hakikisha unazaa kwa mpango, kama unajijua wew ni mpenda ngono, hakikisha unaeshiriki nae habebi ujauzito bila ww kutaka.

Nawewe mwanamke hakikisha huzai na mwanaume fala, asiyejua thaman yako wala uwajibikaji, hakikisha hushiriki ngono na watu wa hovyo.
kumbe kuna watu huwa waanawaza kama mimi well said. Yaan moja ya kitu huwa nazingatia ni aina gani ya manzi wa kulala naye...
 
Back
Top Bottom