Usihangaike kutafuta maana ya ndoto, picha unazoziona tafsiri yake ni wewe

Usihangaike kutafuta maana ya ndoto, picha unazoziona tafsiri yake ni wewe

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Ushawahi kujiuliza kwanini umeota askari anakukamata na kukuweka kituo?

Kuna wengine wanaota ndoto za majoka na wanyama wengine.

Basi nikwambie tu,ndoto ni fahamu zako na ikiwa huzitambui fahamu zako basi ni ngumu kutafsiri ndoto,unapoenda kwa viongozi wa dini sometimes wanakosea.

Lets say ndoto ya nyoka binafsi nyoka kwangu ni mdudu anaetisha ni ndivyo hivo kuwa kwenye ndoto ukiona ndoto ya nyoka amefariki ujue kuna ubaya umeepuka,

Mfano kuona askari anakukimbiza,binafsi askari natambua ni raia mwenye majukumu ya kulinda amani,raia na mali zake na kukimbia ni ishara ya kukwepa kitu,sasa katika ndoto hii inaonesha una makosa umefanya na kuna jambo linakuandama.

Mbarikiwe.
 
Majuzi tu hapa nimeota nakamatwa na asikal polis, ila wakati ananifunga pingu nikamchomoka a kukimbia japo nilimwavha kwa mbali ilanilikuwa najisikia mzito sana kwenye kukimbia.

Hakuna kosa la uvunjifu sheria nimefanya sasa maana yake nini au huko mbele itatokea?
askari ni mtu ambaye analinda amani tu,kuna kosa umefanya na huenda lingekutia matatizoni.

huenda upande wa life style/afya n.k kuna jambo umelifanya ambalo lilitaka kuharibu amani yako.
 
Jana nililala karibu ya Mbolea Nikaota Nimekuwa Navuna au ndio utajiri Wasulemani umenizukia
 
Naweza kupinga na wewe mkuu....Mimi kuna siku nlikuwa mbali nikaota kwy familia yetu kuna msiba ila wakt namalizia ndoto nikaamshwa na simu ya taarifa ya msiba wa mtot wa baba mkubwa....juzi pia hata wiki haijaisha nimeota kweny familia kuna mgonjwa....ile asubuhi napigiwa bi mkubwa kalazwa hosptal ....mbaya zaid na bi mkubwa ana ndoto za Ivo akiota ndoto ya msiba asilimia kubwa unakuta kuna msiba wa karibu...vip na hili unaliongeleaje?cz unakuta huna taarifa yyte ila unaota na inatokea kwel
 
Naweza kupinga na wewe mkuu....Mimi kuna siku nlikuwa mbali nikaota kwy familia yetu kuna msiba ila wakt namalizia ndoto nikaamshwa na simu ya taarifa ya msiba wa mtot wa baba mkubwa....juzi pia hata wiki haijaisha nimeota kweny familia kuna mgonjwa....ile asubuhi napigiwa bi mkubwa kalazwa hosptal ....mbaya zaid na bi mkubwa ana ndoto za Ivo akiota ndoto ya msiba asilimia kubwa unakuta kuna msiba wa karibu...vip na hili unaliongeleaje?cz unakuta huna taarifa yyte ila unaota na inatokea kwel
Fungua kanisa wewe ni Nabii
 
Je kila siku nikiota nahesabu pesa?
pesa huashiria thamani,ikiwa unazo pesa ujue kwamba thamani yako inakuwa au kuendelea kwa sababu ya activness yako,ila ukiwa huna pesa na unaota kuwa unahesabu ujue hapo wew unatabia fulani ya kujiona/kujipa thamani lkn wengine hawalioni hilo.

ndoto hii inategemea na mukhtaza/mazingira kuijibu.
 
pesa huashiria thamani,ikiwa unazo pesa ujue kwamba thamani yako inakuwa au kuendelea kwa sababu ya activness yako,ila ukiwa huna pesa na unaota kuwa unahesabu ujue hapo wew unatabia fulani ya kujiona/kujipa thamani lkn wengine hawalioni hilo.

ndoto hii inategemea na mukhtaza/mazingira kuijibu.
Asante mkuu
 
Naweza kupinga na wewe mkuu....Mimi kuna siku nlikuwa mbali nikaota kwy familia yetu kuna msiba ila wakt namalizia ndoto nikaamshwa na simu ya taarifa ya msiba wa mtot wa baba mkubwa....juzi pia hata wiki haijaisha nimeota kweny familia kuna mgonjwa....ile asubuhi napigiwa bi mkubwa kalazwa hosptal ....mbaya zaid na bi mkubwa ana ndoto za Ivo akiota ndoto ya msiba asilimia kubwa unakuta kuna msiba wa karibu...vip na hili unaliongeleaje?cz unakuta huna taarifa yyte ila unaota na inatokea kwel
yah,msiba ni majanga...au wewe umsiba unamaana gani kwako?
 
Back
Top Bottom