Usihangaike kutafuta maana ya ndoto, picha unazoziona tafsiri yake ni wewe

Usihangaike kutafuta maana ya ndoto, picha unazoziona tafsiri yake ni wewe

Mkuu mimi nimeota juzi nimepigiwa simu niende kwenye interview then kuna bibi akawa anapita pembeni nioivyomaliza kuonhea na simu akili yangu ikawaza kwamba yule bibi ndo kanisaidia ivyo nikamkimbilia karibu nikasema asante, ila yule bibi akajibu asante ile ya kushangaa alafu akasema asante ya nini?na jinsi alivyokua anatamka neno asante mimi nikawa nasikia maumivu. Hapo ina maana gani?
 
Mkuu mimi nimeota juzi nimepigiwa simu niende kwenye interview then kuna bibi akawa anapita pembeni nioivyomaliza kuonhea na simu akili yangu ikawaza kwamba yule bibi ndo kanisaidia ivyo nikamkimbilia karibu nikasema asante, ila yule bibi akajibu asante ile ya kushangaa alafu akasema asante ya nini?na jinsi alivyokua anatamka neno asante mimi nikawa nasikia maumivu. Hapo ina maana gani?
interview ni kipimo/majaribio,bibi ni cheo au uzoefu/mwanamke alieishi mda mrefu

kuna majaribio unatakiwa uyafanye ili uweze kufika katika nafasi/cheo fulani..lakini unatakiwa upambane/maumivu.
 
interview ni kipimo/majaribio,bibi ni cheo au uzoefu/mwanamke alieishi mda mrefu

kuna majaribio unatakiwa uyafanye ili uweze kufika katika nafasi/cheo fulani..lakini unatakiwa upambane/maumivu.
Mkuu kwaiyo unataka kunambia natakiwa nipambane zaidi na nivumilie maumivu
 
Back
Top Bottom