Infinite_Kiumeni
JF-Expert Member
- Jan 23, 2023
- 382
- 687
Hii inawakuta wanaume wengi.
Hata mimi ilishawahi nipata kabla.
Lakini ni muhimu kutambua thamani yako. Na unastahili upendo na furaha.
Ubaya wa kumng'ang'ania asiye kutaka ni kukosa kuwa anayekutaka.
Mana muda mwingi utautumia kwake badala ya kuwa na anayekukubali.
.
Kuna muda unataka kuachana naye lakini inakua ngumu.
Kinachosababisha inaweza kuwa, una upweke moyoni na unatamani upate upendo.
Au umezoea kuwa na maisha ya kung'ang'aniza wanawake.
Hivyo, ni muhimu ukakaa chini ukajiuliza kwanini unang'ang'ania usipopendwa?
Kwanini huwezi kujitoa kwa huyo mwanamke?
Je, ulikua na uhusiano mzuri na mama yako? Au ndo unatafuta mama ukubwani?
Je, aina hiyo ya mahusiano ndio unayotaka?
Kisha anza kujiheshimu.
Heshimu muda wako. Usiupoteze kwa mwanamke asiye na juhudi juu yako bali kuza thamani yako na utapata urahisi kumvutia mwanamke. Itakufanya uweze kuwa na uchaguzi na sio kumg'ang'ania mwanamke mmoja kama vile mama ako.
.
Unapomng'ang'ania mwanamke mmoja anakuona huna thamani.
Anakushusha heshima.
Maana yake ni kwamba hata wanawake wengine hawakutaki.
Kiasi kwamba unaona umepata bahati kuwa naye.
Na kama tunavyojua, wanawake ni watu wa kijamii. Akiona wenzie hawakutaki na yeye hatoona sababu ya kukutaka.
Ndiyo mana unakuta ukiwa na mwanamke wanawake wengine pia wanakutaka. Ila ukiwa bachela wanawake wanakukwepa kama ukoma.
Hata mimi ilishawahi nipata kabla.
Lakini ni muhimu kutambua thamani yako. Na unastahili upendo na furaha.
Ubaya wa kumng'ang'ania asiye kutaka ni kukosa kuwa anayekutaka.
Mana muda mwingi utautumia kwake badala ya kuwa na anayekukubali.
.
Kuna muda unataka kuachana naye lakini inakua ngumu.
Kinachosababisha inaweza kuwa, una upweke moyoni na unatamani upate upendo.
Au umezoea kuwa na maisha ya kung'ang'aniza wanawake.
Hivyo, ni muhimu ukakaa chini ukajiuliza kwanini unang'ang'ania usipopendwa?
Kwanini huwezi kujitoa kwa huyo mwanamke?
Je, ulikua na uhusiano mzuri na mama yako? Au ndo unatafuta mama ukubwani?
Je, aina hiyo ya mahusiano ndio unayotaka?
Kisha anza kujiheshimu.
Heshimu muda wako. Usiupoteze kwa mwanamke asiye na juhudi juu yako bali kuza thamani yako na utapata urahisi kumvutia mwanamke. Itakufanya uweze kuwa na uchaguzi na sio kumg'ang'ania mwanamke mmoja kama vile mama ako.
.
Unapomng'ang'ania mwanamke mmoja anakuona huna thamani.
Anakushusha heshima.
Maana yake ni kwamba hata wanawake wengine hawakutaki.
Kiasi kwamba unaona umepata bahati kuwa naye.
Na kama tunavyojua, wanawake ni watu wa kijamii. Akiona wenzie hawakutaki na yeye hatoona sababu ya kukutaka.
Ndiyo mana unakuta ukiwa na mwanamke wanawake wengine pia wanakutaka. Ila ukiwa bachela wanawake wanakukwepa kama ukoma.