Usihuzunike, huna budi kukubali. Ni mabadiliko

Usihuzunike, huna budi kukubali. Ni mabadiliko

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,550
Reaction score
39,949
Ukiyakataa mabadiliko yatakubadilisha kilazima na yatakuumiza.

Utaona mtu mbaya, ana dharau kumbe si kweli. Mlikuwa washkaji ni kweli kuna kitu kilikuwa kinaleta ushkaji wenu. Kama ni shule hapa mlikuwa mnaongea lugha moja. Mmmetoka hapo ww ni boda boda yeye ni mhasibu. Hapa hata mkikutana mtaongea nini? Story zitakuwa fupi muda mwingi mnapishana. Unatuma text hajibu kwa wakati wakati mwingine hafanyi kusudi ni majukumu yake.

Mlipotezana na mtu muda mrefu mnaonana mnabadilishana na namba tena lakini hata mkiwasiliana story unakuta si ndefu Huenda sababu tayari kila mtu anawaza tofauti kile kilichowaunganisha hapo awali hakipo tena.

Kuna watu wana lawama sana.
Oooh mwanangu amekuwa na dharau, si dharau bond tena hakuna. Tunaweza kuwa na ukaribu kama kuna hustle zinaelekeana. Kinyume na hapo tutaongea mambo ya zamani then hatuwezi kuwa na story tena.

Kweli tulikuwa tunaruka majoka wote club, madem kwa sana etc. ila now nimeoa nina familia nimebadili mwenendo wa maisha yangu unaona nakutenaga kweli???
Kama urafiki usivyoombwa ndivyo ambavyo ukiamua kuisha huisha bila kujali na kuulazimisha kuendelea tena ni ngumu.

Tusiishi kwenye historia sijui nilimsaidiaga sana. Ni kweli ulimsaidiaga wakati ule tena mlifaana sana ila kwa sasa huenda msifaane. Hustle tayari ziko tofauti.

Ni mara chache mnaweza kukutana watu mlikuwa washkaji zamani then ushkaji ukaendelea.
 
Inaumiza sana
Kuna watu wana lawama sana.
Oooh mwanangu amekuwa na dharau, si dharau bond tena hakuna. Tunaweza kuwa na ukaribu kama kuna hustle zinaelekeana. kinyume na hapo tutaongea mambo ya zamani then hatuwezi kuwa na story tena.
 
Kuna mda unakuwa na thamani coz unakuwa ni msaada wa ishu fulani ,then Kuna mda hauna thamani .

Kuna mwana tulikuwa marafiki form one mpaka two na tunkaa karibu hata home ,ilipofika form three sote tulienda science ila tulikuwa tu madarasa tofauti nilikuwa A yye B , basi huwezi kuamini urafiki ulikufa kabisa mpaka tunamaliza form four ,hata ile kitaa ikawa ngumu ..Kuna kipind hizi class mbili za science A na B tulikuwa na mgogoro na kuanza kuchukiana ...Basi nasi pia ilipunguza ule urafiki wetu.

Moral ; Tujifunze kuadapt kutokana na mda .
 
Kuna mda unakuwa na thamani coz unakuwa ni msaada wa ishu fulani ,then Kuna mda hauna thamani .

Kuna mwana tulikuwa marafiki form one mpaka two na tunkaa karibu hata home ,ilipofika form three sote tulienda science ila tulikuwa tu madarasa tofauti nilikuwa A yye B , basi huwezi kuamini urafiki ulikufa kabisa mpaka tunamaliza form four ,hata ile kitaa ikawa ngumu ..Kuna kipind hizi class mbili za science A na B tulikuwa na mgogoro na kuanza kuchukiana ...Basi nasi pia ilipunguza ule urafiki wetu.

Moral ; Tujifunze kuadapt kutokana na mda .
Kuna watu still hawaelewi hii. wanataka muendelee kuishi kama zamani. Kweli tulikuwa tunaruka majoka wote club, madem kwa sana etc. ila now nimeoa nimebadili mwenendo wa maisha yangu unaona nakutenaga kweli???
Kama uarafiki usivyoombwa ndivyo amabavyo ukiamua kuisha huisha bila kujali na kuulazimisha kuendelea tena ni ngumu.
 
Kuna watu wana lawama sana.
Oooh mwanangu amekuwa na dharau, si dharau bond tena hakuna. Tunaweza kuwa na ukaribu kama kuna hustle zinaelekeana. kinyume na hapo tutaongea mambo ya zamani then hatuwezi kuwa na story tena.
Hakika nimejifunza mkuu
 
Watu/mtu wa design hiyo bado makuzi yake yanamshinda .

Bado aanazo akili za kitoto..

Niko na marafiki Tumesoma wote lakini kuna muda safari ya Maisha Ina njia panda nyingi ...

If we lost touch it's fine tukikutana howyd buddy ..

Ukinijibu great am okay .. ukinijibu not so great/ bad nakuambia tuendelee kupambana thats what maturity is ...

Ni kujua tuu kama Wana wazima basi mengine yajisumbukie huko
 
Kuna watu wana lawama sana.
Oooh mwanangu amekuwa na dharau, si dharau bond tena hakuna. Tunaweza kuwa na ukaribu kama kuna hustle zinaelekeana. kinyume na hapo tutaongea mambo ya zamani then hatuwezi kuwa na story tena.

☺️☺️
 
Kuna watu still hawaelewi hii. wanataka muendelee kuishi kama zamani. Kweli tulikuwa tunaruka majoka wote club, madem kwa sana etc. ila now nimeoa nimebadili mwenendo wa maisha yangu unaona nakutenaga kweli???
Kama uarafiki usivyoombwa ndivyo amabavyo ukiamua kuisha huisha bila kujali na kuulazimisha kuendelea tena ni ngumu.
Yeap !! lazima watu waendane na mda ni vizuri zaidi.
 
Hata mashuleni, vyuoni walimu huwa wanawaambia wanafunzi urafiki huu ni wa mpito kila mmoja baada ya hapa uendelea na maisha yake sababu mliunganishwa na shule.
 
Hata makazini ukahama Kazi au pigwa chini ushasaulika hivyo, hawa mabosi wanoko sema huwa awalijui hili wengi wao huwa wanatia Sana huruma baada ya kustaafu, mazingira uwakataa na hata waliowatendea ubaya makazini huwa nao mbali.
 
Pia kwenye maisha ya mapenzi mtu akiamua kukuacha achana nae kipoa tu usilazimishe kwa ubaya kesho utaona aibu maana ujui atakuwa wapi, utaona aibu. Mkiachana kwa wema kesho uenda akawa msaada kwako kwa wema.
 
Kuna time inakubidi tu utengane na mwanao kwasababu hustle zimetofautiana.
Na hata kama mlikua pamoja kwenye utafutaji inafika time mnatengana na urafiki unapungua coz njia za kufanikiwa zinatofautiana.
 
Back
Top Bottom