Usiingie kwenye biashara kwa mihemuko ya semina na mifano ya akina Jack Ma, Bii Gate na Jeff Bros

Ndio maana nikauliza, hakuna kitu kinachoweza kuniguide hata kama nimebadili biashara?
Mtu pekee wa kukuguide ni wewe mwenyewe!!!

Unatakiwa wewe mwenyewe uchunguze au ukatathmini eneo unalotaka kufanya biashara yako kulingana na eneo husika....!!!!

Alafu unaanza biashara na mambo mengine utajifunza kadri biashara inavyokwenda!!!!
 
Ninahamasika sana na Robert Kiyosaki na wengineo ambao kiukweli wananielimisha sana ktk biashara.

Sina la kusema kuhusu wahamasishaji wa Tanzania
 
Mtu pekee wa kukuguide ni wewe mwenyewe!!!

Unatakiwa wewe mwenyewe uchunguze au ukatathmini eneo unalotaka kufanya biashara yako kulingana na eneo husika....!!!!

Alafu unaanza biashara na mambo mengine utajifunza kadri biashara inavyokwenda!!!!
Sawa sawa kabisa mkuu
 
Kwani wanaitwa Business guider au Motivational speaker maana unachanganya watu sasa.

Kimsingi wanaitwa motivational speaker zumuni ni kuwa-motivate walio kwenye kiza kupata mwanga sasa sioni tatizo lipo wapi kama watu wanakuwa motivated tatizo lako wewe mtoa mada na wanajf wengi ni kwamba wamewazoea so ndio maana wanawaona wakawaida ila nikikuchukulia mtu ambaye amjui Anthony Luvanda na hana maJF akimsikia mara ya Kwanza atabadilika hemu tutumieni akili kidogo basi.

NB: usiakalili maneno ya mtaani motivacional speaker wengi wana-practice biashara wakina Luvanda, Shigongo nk
 
Binafsi naamini motivatinal speakers ni muhimu kuwatoa watu gizani nakuwaamsha huwa hawakufundishi kitu kipya unafundishwa vitu vile vile we unaamua uchukue kipi na kip ukiache ,hawawezi kufundisha kila kkitu kama ilivyo elimu hatufundishwi kila kitu darasani mengine utajifunza mtaani,hata jeshini hawafundishwi kila kitu mengine utajiongeza mwenyewe ,,hivyo sio motivatonal speaker ni reality angalia hata mifano wanayoitumia msingi ni ya marekani sio tz mfano nimesoma kitabu cha JOEL NANAUKA MIFANO MINGI SIO YA NCHI HII CHA MSINGI AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO ,SIKILIZA BEBA KINACHOFAA HUDHURIA SEMINA KUJIFUNZA HAKUNA MWISHO
 
akili za kuambiwa changanya na zako
 
Biashara ni kitu cha ajabu sana!!!....

Mabadiliko na mafunzo unayapata kadri uanvyoifanya!!!!

Unaweza ukaanza na biashara hii ukajikuta baadae unabobea kwenye biashara nyingine ambayo hata hukuwaza kuifikiria
Kabisa yaan!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…