Aisee🙌Madogo yana nafuu.
AfadhaliMm nipo JF kuchangamsha Jukwaa, siwez kuwa serious hata sikumoja Mkuu.
Muone umevaaa miwani.............. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Malumbano yakiwekwa kwenye thread ni lazima yapatiwe maoni, vinginevyo mnaweza fanya hayo malumbano kwenye PM
Sina wazazi, nimeshuka kutoka mawinguniUna wazazi kweli, kwenu kuna wakubwa?
ACHA DHARAU KWA MTU USIEMJUA.
Sahihi kuna mmoja Jana aliingilia Jambo lisilo mhusu nikamjumuisha pumbavu.Habari zenu Wakuu,
Kama kuna malumbano (reply) umeiona na haujui malumbano yalipoanzia basi ni vyema ukakaa kimya na kupotezea.
Hapa JF kuna watu wanaingilia maongezi yasiowahusu na mwisho wa siku wanabeba maugomvi yasiokuwa yao.
ACHA SHOBO MKUU WANGU.
PEACE