mimi nilimaliza form 4 mwaka jana na nlipata division 4 ya 31.. nlipata D 4 katika masomo ya History,civics,kiswahil na english.. sasa kaka/dada zangu naombeni ushauri wenu nkasomee kozi gani kulingana na hayo matokeo maana mi bado sijielewi... kwa msaada zaidi unaweza kuntajia na vyuo vya kusomea hizo kozi mi nipo dar. natanguliza shukrani kwa wote mtakaonishauri. asanteni
Umejaribu kucheki IJA? Hebu wagoogle uone qualifications zao. Andika institute of judiciary administration lushoto. Afu na wewe uwe serious na shule basi jamani.
La msingi,jiulize mwenyewe.... unataka kuwa nani? unataka kufanya kazi gani baada ya masomo yako?
Umesema hujielewi...ukijibu hayo maswali hapo juu basi utaanza kujielewa.
Kama una ndoto, kwa mfano, kuwa rubani. kwa matokeo hayo uliyoyapata mwaka jana hayatoshi kukupelekea kuwa rubani au mfamasia. Itakubidi ufanye marudio/usome tena form 4 na kufanya mtihani mpya.
Kama kurudia mtihani ni kikwazo, unataka kuwahi maisha kuna kozi ya ualimu wa fasta fasta. Ulizia hili wizara ya elimu.
Lakini ndugu baada ya form 4 ulitakiwa kufanya masomo ya kidato cha sita. Vyenginevyo uombe mafunzo ya amali/ufundi stadi katika vyuo vya VETA. link -- Vocational Education and Training Authority -- VETA --
Kama ungekua una D 5 ningekushaur ukasome certfcate then diploma ukamalizie na degree lakin kwa qualifcation zako naona utafanikiwa kusoma mpaka diploma tu mdogo wangu kwa maana kuingia degree ni mpaka uwe na D 5 za O-level na uwe diploma holder! Vingnevyo ukarudie form 4 japokua si kushaur sana! Ni hayo tu!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Unaweza kusomea Library (Ukutubi) ikiwa kama unaona itakusaidia. Sina uhakika sana vyuo vinavyotoa mafunzo, jaribu bagamoyo, Ruaha University College, SUA n.k
Kama ungekua una D 5 ningekushaur ukasome certfcate then diploma ukamalizie na degree lakin kwa qualifcation zako naona utafanikiwa kusoma mpaka diploma tu mdogo wangu kwa maana kuingia degree ni mpaka uwe na D 5 za O-level na uwe diploma holder! Vingnevyo ukarudie form 4 japokua si kushaur sana! Ni hayo tu!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
sawa nkasomee diploma ila kozi gani inafaa kwa marks hizo¿
mimi nilimaliza form 4 mwaka jana na nlipata division 4 ya 31.. nlipata D 4 katika masomo ya History,civics,kiswahil na english.. sasa kaka/dada zangu naombeni ushauri wenu nkasomee kozi gani kulingana na hayo matokeo maana mi bado sijielewi... kwa msaada zaidi unaweza kuntajia na vyuo vya kusomea hizo kozi mi nipo dar. natanguliza shukrani kwa wote mtakaonishauri. asanteni
ha ha ha kwl daras gumu a said awe na d 5 za o level then awe diploma holder! ni kiswahil tu hcho jaman sio d5 akachukue degree!D-5 za o-level asome diploma, then degree?!!!!! chuo gani hicho kinapokea wa hivo? kazi kwelikweli!!!!!!
ha ha ha kwl daras gumu a said awe na d 5 za o level then awe diploma holder! ni kiswahil tu hcho jaman sio d5 akachukue degree!
we kausha tu home sio lazma wote tusome