Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee!Kichwa cha uzi kinajieleza kabisa. Zingatia ushauri wa hapo juu!
Ok [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Kichwa cha uzi kinajieleza kabisa. Zingatia ushauri wa hapo juu!
Nchi haina maji, umeme na dola zime toweka mkuu🤨Hakika tanesco wameshindikana
Ndio maana mimi hua natembea na azuma kwenye mkoba..🤣hili tatizo ni kubwa kule jukwaa la afya
mtu anaandika tu ujinga hajui anaweza kuua mtu
Ngoja nione mwa J atasemanini mbwa yule aliniambukiza uti grade one 🤨Sawa mkuu
Umekubali kufokewa mkuu??aisee!
labda MMU na chitchat,Kila mtu anajiona daktari na anashauri kila analooona linafaa
Nakazia hoja: Na unapochangia zingatia lugha na heshimu mawazo ya wachangiaji wenzio.Kichwa cha uzi kinajieleza kabisa. Zingatia ushauri wa hapo juu!
🤣🤣🤣🤣we huyo mwaj kafanyaje tena?Ngoja nione mwa J atasemanini mbwa yule aliniambukiza uti grade one 🤨
Ebu nipe break mkuu, maana mwa J anachamba zaidi ya left hand mbwa yule...🙄🤣🤣🤣🤣we huyo mwaj kafanyaje tena?