Usijaribu kuacha usichoweza kukiacha, mapenzi yanauma

Usijaribu kuacha usichoweza kukiacha, mapenzi yanauma

Kaka imekaa kimashambuliziii sana inafaa na sifuti kauli
Screenshot_20210515-200716.png


Tusifanyiane hivi
 
Najitahidi kumsahau huyu mwanamke bado ni mtihani!
I miss her japo nimemuacha mwenyewe lkn bado hisia juu yake ni kali,still nawivu nae na naona kabisa nampenda.

Swala sio kumuacha swala ni lini hisia juu yake zitakufa??

Someone can feel me..😞
Inauma sana ila ukizoea utaanza shangaa ulikuwa una tatzo gani mpaka unaumia hivi
 
Jiendekeze tu, utakufa kwa kihoro...

Jitu likusumbue akili, amekuwa mama yako mzazi huyo, mlizaliwa pamoja, iliandikwa sehemu kuwa bila yeye wewe si lolote...

Pumbavu kabisa wewe.. Bwege mtozeni namba moja
 
Najitahidi kumsahau huyu mwanamke bado ni mtihani!
I miss her japo nimemuacha mwenyewe lkn bado hisia juu yake ni kali,still nawivu nae na naona kabisa nampenda.

Swala sio kumuacha swala ni lini hisia juu yake zitakufa??

Someone can feel me..[emoji20]

Mimi nilishaachaga kabisa kubishana na nature (asili)muda ukisema endelea kupenda naendelea ukishaacha kupenda automatic chuki itakuja tu na kutoka kwenye mateso lkn kamwe siwezi kujifanya nasahau kitu ambacho sitasahau milele
 
Kabla hujamuacha unaempenda lazima uwe na mbadala vinginevyo utarudia ulipotoka!
 
Naona ndio mpango wa kwenda kuparamia Madirisha ,kaka hujaambiwa yupo umeambiwa wapooo unaonyeshea weye ni dogo sana au umezoweya ubwetee.Bure Yauaa.
 
Kabla uache kaz tafta pa kijishikisha
Walau hukos maji ya kunywa ndo
Uache hyo kazi unayotaka kuacha
 
Back
Top Bottom