Kaka imekaa kimashambuliziii sana inafaa na sifuti kauli
Inauma sana ila ukizoea utaanza shangaa ulikuwa una tatzo gani mpaka unaumia hiviNajitahidi kumsahau huyu mwanamke bado ni mtihani!
I miss her japo nimemuacha mwenyewe lkn bado hisia juu yake ni kali,still nawivu nae na naona kabisa nampenda.
Swala sio kumuacha swala ni lini hisia juu yake zitakufa??
Someone can feel me..😞
Najitahidi kumsahau huyu mwanamke bado ni mtihani!
I miss her japo nimemuacha mwenyewe lkn bado hisia juu yake ni kali,still nawivu nae na naona kabisa nampenda.
Swala sio kumuacha swala ni lini hisia juu yake zitakufa??
Someone can feel me..[emoji20]