Usijaribu kumtania house girl kwa maneno haya

Usijaribu kumtania house girl kwa maneno haya

uchumi2018

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
1,657
Reaction score
2,406
Habari zenu wandugu, Poleni na majukumu.
nimeona nitoe tahadhari kwa vijana
wanaoishi nyumbani kwao au hata maboss
wenye ma-house girl(matured 19yrs+)
kuzoea kuwatania kwa maneno yenye mistari
ya mahaba ndani yake kama vile
-Unapendeza sana,natamani nikutembelee usiku.
-Nilikuja chumbani kwako usiku nikakukuta umelala fofo.
-Usifunge mlango kuna kitu nataka nikwambie chumbani kwako
-Hii zawadi ifiche baba na mama wasijue kwamba nimekupatia.N.K

Ukiingia mtego wa kumzungumzia maneno haya,
utajiingiza kwenye mabishano naye,
na nakwambia hutachomoka katika
majaribu yatakayokujia kwa speed ya 4G
Lengo la kuweka hili hapa ni kukupa tahadhari
ili kudumisha upendo na amani ktk familia.

Usimbague bali zungumza naye maneno ya
kawaida yasiyoamsha hisia zake
maana naye ni mtu ana hisia
wakati mwingine zilizopitiliza kwa sababu
ya kubanwa na majukumu ya nyumbani
akipata mtu wa ndani,ataona amepata auheni
lakini kwako itakuletea matatizo makubwa.
Mwenye nyongeza ya maneno amabayo yanaleta
utata kwa HG ili tuyaepuke,na hiyo kuwa salama
karibuni.
Siku njema.
 
Kati ya mahause girl Saba,mmoja tu ndio alinikataa tena akaenda kusema kwa bi mkubwa kabisa.
Huyo mmoja unaweza kutusimulia kilichotokea baada ya kukusemea.
Wengi hukimbilia kuwa fukuza HG,wakati yeye ametoa taarifa
ya kinachomkabili,ndo maana wengine hunyamaza.
 
Kati ya mahause girl Saba,mmoja tu ndio alinikataa tena akaenda kusema kwa bi mkubwa kabisa.
Kutoka na house girl ni 1st degree ya ubakaji.
Maana beki 3 kukukataa ni ngumu sana maana wewe ndio young master wa nyumbani..

Hayuko free kuchagua....acha kuonea mabeki 3 ingia mtaani upambane na watoto ambao wana free will
 
Kutoka na house girl ni 1st degree ya ubakaji.
Maana beki 3 kukukataa ni ngumu sana maana wewe ndio young master wa nyumbani..

Hayuko free kuchagua....acha kuonea mabeki 3 ingia mtaani upambane na watoto ambao wana free will
Hapa umeongelea upande mmoja wa mwajili
lakini hoja yangu mimi ni pamoja na watoto
wa wenye nyumba ambao HG
ana hiari ya kuwakataa au kuwakubali.
shida kubwa inakuwa ni mazingira
hata pale ambapo angekataa
na asifanywe chochote,mazingira
yanambana yeye kama binadamu mwenye
matamanio,dawa ni kuepuka kuwajaribu.
 
Write your reply...daah ukute amenona umbo limejichora ni mtihani sana wanaume tumeumbwa mateso
Yaani we acha tu ananilelea watoto ndyo ana mwezi 1 tu juzi aliniuliza hivi nanukuu ' kaka unajua kucheza karata' nikasema ndyo akasema nunua tucheze nikuoe !!
yaani ile bibi ikiliwa na bwana ,nilifikilia sjui alimaanisha nini au utani tu
 
Hapa umeongelea upande mmoja wa mwajili
lakini hoja yangu mimi ni pamoja na watoto
wa wenye nyumba ambao HG
ana hiari ya kuwakataa au kuwakubali.
shida kubwa inakuwa ni mazingira
hata pale ambapo angekataa
na asifanywe chochote,mazingira
yanambana yeye kama binadamu mwenye
matamanio,dawa ni kuepuka kuwajaribu.
Naona hujaelewa point ya jamaa HG hana free will ya kukataa hata kama hakutaki inabidi akukubalie ili aendelee kubaki hapo ofisini haijalishi ni boss au mtoto wa boss
 
Yaani we acha tu ananilelea watoto ndyo ana mwezi 1 tu juzi aliniuliza hivi nanukuu ' kaka unajua kucheza karata' nikasema ndyo akasema nunua tucheze nikuoe !!
yaani ile bibi ikiliwa na bwana ,nilifikilia sjui alimaanisha nini au utani tu
Hapo nunua tu uoelewe haina jinsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom