Usijaribu kutoa mimba dhambi yake ni zaidi ya Jairo!

Usijaribu kutoa mimba dhambi yake ni zaidi ya Jairo!

Wewe kdnapper umetokea wapi tena?simply mwenye mada kaongelea abortion ya mtoto aliye tumboni,wewe unaongelea shahawa,kwa nini usijibu mada ilivyo alafu ukatafuta mda ukaleta ya kwako ya shahawa kama unapenda?mnaboa sana because of your irrational thinking,think positively great thinker!
Jamani hujaona nimeuliza au alama za kuuliza zilimaanisha nukta kwenu?
 
Its just copy n paste NN, ila inamake sense ndio maana dini zingine zinakataa utumiaji wake,nilivoelewa unaweza tumia condom siku za kushika mimba ni kama joke hii nashangaa kuona nimeshambuliwa kiasi hiki lol!!

Ina make sense kivipi? Manake umezungumzia mpira wa kiume na utekwaji nyara. Mimi bado sielewi uhusiano wake.

Samahani kwa usumbufu. Niko mzito kidogo katika kuelewa. Sikubahatika kufaulu form four, form six, wala kwenda UDSM na kupata festi klasi.
 
hebu cheki hii story hapa The Hand of Hope
thehandofhope.jpgkisha amua mwenyewe, sina la zaidi
 
Ina make sense kivipi? Manake umezungumzia mpira wa kiume na utekwaji nyara. Mimi bado sielewi uhusiano wake.

Samahani kwa usumbufu. Niko mzito kidogo katika kuelewa. Sikubahatika kufaulu form four, form six, wala kwenda UDSM na kupata festi klasi.
Ina make sense pale ambapo condom zimezuia mimba kuingia wakati mwanamke alikuwa kwenye siku za kushika mimba
 
Kwanza kabisa watu muelewe mie sisapoti utoaji mimba na hiyo post nimeweka kiulizo mwisho si mjibu mnavyojua kutetea hoja zenu?huo msemo nimeucopy mahala, na mjue Mungu kakataza utoaji mimba na ufanyaji mapenzi kabla ya ndoa, na wakati huohuo mjue dhambi ni dhambi hakuna cha dhambi kubwa wala ndogo kila dhambi mshahara wake ni mauti, na sio kwamba nasema hivi coz mimi sitendi dhambi au sijawahi fanya haya la hasha, naongea nachokijua tu, na uelewa wangu
 
Kwanza kabisa watu muelewe mie sisapoti utoaji mimba na hiyo post nimeweka kiulizo mwisho si mjibu mnavyojua kutetea hoja zenu?huo msemo nimeucopy mahala, na mjue Mungu kakataza utoaji mimba na ufanyaji mapenzi kabla ya ndoa, na wakati huohuo mjue dhambi ni dhambi hakuna cha dhambi kubwa wala ndogo kila dhambi mshahara wake ni mauti, na sio kwamba nasema hivi coz mimi sitendi dhambi au sijawahi fanya haya la hasha, naongea nachokijua tu, na uelewa wangu

Kipipi regrets kitufe cha 'Thanks' hakipo jamani! Anyways, ubarikiwe sana!
 
Back
Top Bottom