Usije Dar kwasababu ya kuolewa

Usije Dar kwasababu ya kuolewa

Watu wa Dar, wanaishi maisha magumu sana.. Chai yenyewe wanakunywa saa saba mchana.
20231225_172309.jpg
 
Watu wa Dar, wanaishi maisha magumu sana.. Chai yenyewe wanakunywa saa saba mchana.
Hivi aliyewaambia kuwa kula milo mitatu ni lazima na ndio afya ni nani, kwa taarifa yako kuna watu ni masikini ila wanakula milo mitatu, na kuna watu ni matajiri ila wanakula milo miwili msikariri ni maamuzi tu
 
Back
Top Bottom