Lahaula lakwata....Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao
Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM
I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
Ila kweli
Haujaacha tuu mambo ya chura?
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].Nakuja Zanzibar kama wewe ulivyokuja Dar siku ile![emoji4][emoji4][emoji4]
Hapo n ww sasa utaamua unipokee au la hii ni kwa sababu katika mahusiano kuna uhuru wa kuchagua.
But jua mm kufika na kukuambia haya niliyonena hakika nmekuchagua uwe mtu wangu wa karibu
Na tukifanana tutashare hayo yatakayokua mbele yetu.
Hapa ndiyo tunapofeli,kuhoji unnecessary questions 😅Mimi ni wangapi kwako kumwambia maneno kama hayo..
Ni ngumu kukuaminisha hapa, nifuate pm ...Nitaaminije?
Yap nipo serious, yy hata akisema nimpe miaka 5 ya kuaubiria majibu poa as long as am living healthy life.Mzee ww umeua upo seriously nn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao
Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM
I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
aisee[emoji848]Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao
Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM
I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
yes I am.nbox meDah! Are you serious with me?
Mkuu nini tena hiki umeandikaKumbe MAGALLAH R unaruka na machangu! Huyu hapa ongeza 7,800 atulie