Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
Lahaula lakwata....
Leo naona umejielekeza kibla wallahi...
 
Nakuja Zanzibar kama wewe ulivyokuja Dar siku ile![emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].
Siji tena dar wewe njoo tuu. Ila si unajua sina chura? Siku zimepita ila hata kachura bado[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Mzee ww umeua upo seriously nn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo n ww sasa utaamua unipokee au la hii ni kwa sababu katika mahusiano kuna uhuru wa kuchagua.

But jua mm kufika na kukuambia haya niliyonena hakika nmekuchagua uwe mtu wangu wa karibu

Na tukifanana tutashare hayo yatakayokua mbele yetu.
 
"Cuteluve mambo??".."Nimepotea,naomba unielekeze njia ya kuingia ndani ya moyo wako"...
 
Nimetuma. Angalia salio lako jipya M-Pesa.
 
moyo umenipa ruhusa, kusema kile kinachoutesa.
nakupenda, na huo ndo usemi wa wangu moyo.
pleas nahtaji uwe mkazi wa madhabahu ya moyo wangu ili nikuvishe taji la upendo(ndoa) milele maishan.
ikiwa ardh ya moyo wangu imekubali kukaliwa nawe, kwa nn nisikupende hata pumz zangu za mwisho
pleas usisite ufungua mlango wa moyo niketi ndan yake ili nikutumikie milele katika ulimwengu wa upendo
 
Acha umalaya fanya kazi, yule wa 7800 haukuridhika nae ?
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
 
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
aisee[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…