Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Mbwa ww ume copy na ku paste lyrics hahah
*Come baby*
Come
and kiss me
with this your
inviting lips na[emoji6]

Come
and touch me
soft your with your
steady hands, steadily.

Come
and sing me
melody of sweetness
with your calm voice.

Come baby,
come put 'you in me' and 'me in you',
come play, all night,
with my 'mumu buttons'.
I may yet promise you the world.

The whole world,
with the honours of 'holy words.

'cum baby[emoji6][emoji3059]
 
Usiku Silali Nakuwaza Wewe.

Nikinywa Maji Nakuona Kwenye Grass.

Nakupenda Kuliko Nyumba Ninayo Lala.

Naomba Tupendane Kama Chupi Na Matako.

Sili Nikashiba Kwa Sababu Yako.

Ukinikubali Nipo Tayari Kuuza Nyumba Ya Family Pesa Zote Nikupe Wewe.

Vipi Umenikubali!!
 
Usiku Silali Nakuwaza Wewe.

Nikinywa Maji Nakuona Kwenye Grass.

Nakupenda Kuliko Nyumba Ninayo Lala.

Naomba Tupendane Kama Chupi Na Matako.

Sili Nikashiba Kwa Sababu Yako.

Ukinikubali Nipo Tayari Kuuza Nyumba Ya Family Pesa Zote Nikupe Wewe.

Vipi Umenikubali!!
Khaaa! Zilipendwa
 
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
Baibey...!, penzi langu kwako ni zito mithili ya kontena la kokoto.

Hata miti yote duniani igeligeuka na kuwa bic, na maji yote duniani yakawa wino, visingeweza chochote kuandika kiasi cha pendo nilililonalo kwako.

Natamani hata nikuhonge DUNIA lakini nashindwa.

Nikubalie basi, sawa mamie....!
 
Cutelove nakupenda kuliko mshahara wangu,Nakuomba unisamehe kwa makosa uliyonifanyia sitorudia tena.Nakukabidhi moyo usinichezee ukanitenda ukaniacha.Nina mke lakini nakupenda.
 
Back
Top Bottom