Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
7,800 Hivi wewe ni changudoa unauza k? Maana mh!
 
Najisikia vibaya sana kukwambia maneno haya bila kuwepo mikwaruzano ya sauti na bila macho kuona na bila uhalisia wa macho kuona, ila nikijenga picha akili yangu inaniambia ww n mrembo utakayekizi matamanio yangu.

Najua ni vigumu kunipokea ila nakupa uhuru wa kuchagua ww utakavyoamua ww moyo wako
Kwa upande wangu mm nisharizika na ww, sijui unasemaje mwanzangu......??


Kama ID yangu sitakuumiza.
 
Baibey...!, penzi langu kwako ni zito mithili ya kontena la kokoto.

Hata miti yote duniani igeligeuka na kuwa bic, na maji yote duniani yakawa wino, visingeweza chochote kuandika kiasi cha pendo nilililonalo kwako.

Natamani hata nikuhonge DUNIA lakini nashindwa.

Nikubalie basi, sawa mamie....!
Unaweza ukaifanya dunia ikawa sehemu takatifu kwangu au kilio cha kwikwi?
 
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
Au kisa siripuki, daily mitumba midosho/
Ukiniona huzuzuki, sana sana unaona michosho/
Bring bring sinyuki/ sina mvuto sitoki smart/
Mrefu sio mfupi/ bora ningekua saizi ya kati/
Au sikuvutii ndio maana hunipi uthamani/
Kioja ndani ya jamii na kwanza hatulingani/
Pia hujiskii kua na kapuku kama Mimi/
Ambaye mswaki situmii sina hadhi ya kukunyonya ndimi/
 
Mimi nakuhakikishia kukupa chakula cha mchana na usiku kwa kwenda mbere.
 
Najisikia vibaya sana kukwambia maneno haya bila kuwepo mikwaruzano ya sauti na bila macho kuona na bila uhalisia wa macho kuona, ila nikijenga picha akili yangu inaniambia ww n mrembo utakayekizi matamanio yangu.

Najua ni vigumu kunipokea ila nakupa uhuru wa kuchagua ww utakavyoamua ww moyo wako
Kwa upande wangu mm nisharizika na ww, sijui unasemaje mwanzangu......??


Kama ID yangu sitakuumiza.
Haya maneno ni mazuri,nina mashaka huenda ni maneno tu bila vitendo
 
Hahaha,nimecheka kwa sauti
Maneno yote yalishasemwa na kuongea, we cha msingi usikolezwe na niseme nakuoenda halafu kesho unifumanie, nikuimbie shairi la mapenzi kisha badae utambue nakusaliti, matendo ni kipimo kizuri, maneno hayanifungi naweza sema hivi jioni nikavunja kiapo.
 
Back
Top Bottom