Nilikuwa katika mahusiano na mwanaume ambae yeye hamna anachofanya kinaeleweka. Kila kazi anafukuzwa akianzisha biashara inakufa, ikafika mahali nakopa kazini nampa yeye afanye biashara niliishia almost losing my
Houses kwa mikopo nayompa yeye ila hajawahi badilika ila nilijifunza somo gumu sana. Kuna maisha nje ya mapenzi! Kamwe kamwe usimpe nafasi mtu ambae hana maono kwa maisha yako, anaweza akaua hadi ndoto zako! Protect ur energy for real