Usije ukapoteza muda na rasilimali zako kutaka kumbadilisha mtu ili awe kama wewe

Kuna watu wengi sana wanateseka kisa watoto na ile dhana mtoto lazima alelewe na baba + mama! nikweli ila vp kama mmoja wenu ni mzigo kwa mwingne yani kifupi hanyooki ata unyooshe na pasi?? Aisee ni kasheshe.
 
Ulikuwa unampa Anachohitaji kweli au ulikuwa unaguess?

Ni sawa sawa na kumpa Samaki mtihani wa kukwea miti Maisha yako yote utaamini kuwa Samaki huyo ni mjinga.

Je Hiyo mahusiano yenu haikuzaliwa na manipulation Tactics kutoka kwako?
Haukumchezea cheusi chekundu akupende ... All of sudden ukawa umeharibu akili yake akawa anashindwa kudelicer results?

Did he had peace of mind when he was with you???


Haukuwa mbinafsi?


Haukumlisha zaidi ya alichokuwa anaweza kula??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…