"Usijenge Familia kukiwa kumekuchwa" Vijana Zaeni na oeni mungali mna nguvu

Shughuli yoyote halali inayoingiza pesa mfukoni inaeleweka.

Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
chief nimemaanisha yani shughuli yoyote ya kukuwezesha kupata hela ya kutosheleza mahitaji makuu muhimu hususani chakula,malazi,mavazi,usafiri na matibabu
kumbuka kwamba sio kila shughuli Bali shughuli ya kueleweka ndo inaweza kukupatia hela ya kutosheleza vitu vya hapo juu
 
Yani Sina Kaz nitafute mtoto wa nini atakula nini ? Kama mimi baba mtu mlo wangu wa shida ?
 
Wrong..! Wanawake wanaupendo Ila hawana utii

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app

Wanawake hawapendi sio asili Yao Kupenda
Labda hujui maana ya Kupenda, upendo ni Kutoa, kati ya mwanamke na Mwanaume Nani anatoa?

Mwanaume ni provider
Mwanamke anapokea.

Kama ulikuwa unajidanganya mwanamke anapenda utakuwa upo wrong,

Acha kazi
Usimpe pesa,
Usitoe chochote alafu uje hapa useme tena Kauli yako.

Alafu yeye aache kazi,
Asiwe na pesa, alafu uone Kama hamtaendelea kupendana.

Ni logic ya kawaida hata Kwa mtu ambaye hafikiri vizuri
 
Vipii mwanamke akikwambia ana kupenda,Ana kuwa ana manisha nini
 
Nilipata mtoto nikiwa na miaka 18 sina godoro wala kijiko cha miambili asee asante Mungu saiz nafurahia
 
Kuoa ni ujinga fulani hivi. KUOA SIYO LAZIMA.
 

Kila jambo na wakati wake, yupo atakayewahi yupo atakayechelewa. Kikubwa uamuzi huo ufanyike mwili na akili vikiwa na utayari
 
Kila jambo na wakati wake, yupo atakayewahi yupo atakayechelewa. Kikubwa uamuzi huo ufanyike mwili na akili vikiwa na utayari

Umesema kweli Kabisa.
Upo Wakati WA asiyesoma na aliyesoma mwenye uhakika wa kuajiriwa Kwa Dani aliyosomea muda wowote hata ipitie miaka 20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…