kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
Wanazingua wakat kesh ni 400kNi wizi kama wazi wengine
Kilo 3 faidaWanazingua wakat kesh ni 400k
Mpya au kesh? Ni laki 4.ukijaribu kutorosha unatrakiwa na kitengo cha cyber crime.. Kwanza picha linanzia baada ya siku ya 3 ya kushindwa kulipia ile 2000 simu inzimwa then tracking inanzaDuh af mpya shngap?
Mkuu kuna mtu anaweza kupata elfu40 kwa siku lakini akashindwa kupata laki kwa mwezi hivyo iyo simu anauwezo wakulipa vizuri pasipo kufungiwa ila hawezi kutafuta laki tatu Kesh akanunua mpya hivyo maisha nikuchagua mi nikajua umeanzisha thread kuwa wenye simu wanawafanyia uhuni wanaochukua simu kabla yakumalizaHawa jamaa sio wazuri sumsung A03 sijui A14 hahaha et kwa siku 2000 kuanzio 50k.
Kwa mwaka inakuja kama laki 7 na elf 70.
No huu ni unyonyaji.
Hahah Noma SanaKilo 3 faida
Mkuu hivi unaujua mwaka? Hapa katikati hujakumbana na mazila ya dunia. Kua makini na mikopo hii ya mwakaMkuu kuna mtu anaweza kupata elfu40 kwa siku lakini akashindwa kupata laki kwa mwezi hivyo iyo simu anauwezo wakulipa vizuri pasipo kufungiwa ila hawezi kutafuta laki tatu Kesh akanunua mpya hivyo maisha nikuchagua mi nikajua umeanzisha thread kuwa wenye simu wanawafanyia uhuni wanaochukua simu kabla yakumaliza
Dah ila hawa jamaa wamezidi.Hiyo ni kawaida kwenye mikopo. Kadiri unavyochukua muda mrefu kurejesha mkopo ndivyo marejesho yanakuwa makubwa zaidi.
NakaziaMkuu kuna mtu anaweza kupata elfu40 kwa siku lakini akashindwa kupata laki kwa mwezi
Kama utashindwa kulipa elfu mbili au elf moja mia tano kwasiku kwakisingizio labda chakuumwa maana ake hata uo ugonjwa uliopata utakuuaMkuu hivi unaujua mwaka? Hapa katikati hujakumbana na mazila ya dunia. Kua makini na mikopo hii ya mwaka
Bora mikopo ya ujasiriamali, sio hii ya simu huna unachoingiza then ukope daahMikopo ya aina nyingi huwa haiko fair
Sio simu tu