Usijifiche kama hujaridhika mweleze mpenzi wako "awajibike"


Penye miti panakosa wajenzi
 
asante kwa kukubali indirectly kuwa wengi wetu hatupendi tunataka kugegedan tuu. sasa kama ni kugegedana tuu hamna shida ya maongezi ya hujaniridhisha wala nini...wewe kamatia gegeda hakuridhishi basi unaenda tafuta anayekupa utamu kamilifu
 
Unanikumbusha gemu moja nilikutana na mbulu kila nikipiga anadai hajatosheka,namchezea napiga hajatosheka hiyo ni saa nane usiku natamani kukuche nikimbie chumba hicho,nguvu ziliniishia nilipiga goli nne mmtoto hajatosheka nilitoka nikiwa mwepesi napepesuka chumbani ikabidi nijishike na ukuta nisianguke nikaagiza pepsi kupata nguvu geto nikalala mpaka usiku nikasema sirudiii kutongoza mbulu.
 

Hahaaaa wengine tuna asili ya huko jaman mbona umetusema hivyo...
 

Hahahaaaahaaaa pole
 
Bantu lady, hivi unajua kuna wadada wamehaha kubadilisha wanaume kama nguo za ndani ili wafikishwe ila hawakupata wanachotaka? Trust me, kuna wanawake hawafiki kileleni hata wafanyiwe nini.

Nafikiri ni tatizo la kimaumbile zaidi. Mtu ukishajijua hivyo ht usihangaike kuacha mafile kwa kila mwanaume unatulia n mmoja kwa kujikubali hali halisi.
 
Last edited by a moderator:

hahahahahah sawa mkuu.
 
Tatizo wasichana wengi ni waoga kuongea ukweli mbele ya bf wao...Ndiyo maana baadhi yetu huwa tunatumia uwezo wetu binafsi kuelewa matatizo yao.! Wengi wao huishia kwenda kupiga soga kwa mashoga zao kuhusu karaha wanazopata kutoka kwa bf wao
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…