Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Hahahaaaa nilitoka nikalala, leo mvua hizi mmmh, kuna baridi nzuri.
aUmeongea ya ukweli jamani kuna viumbe wazito hii dunia rafiki yangualiachwa na boy wake juu ya hili swala,bi dada alikuwa anapenda baada ya mechi wapongezane na kujadili mechi wapiumecheza rafu au umeatack like messijamaa alimjia juu hu ni kupotezeana mda
Ila ukweli ina raha ukimpata anayejua umuhimu wa kujadiliwapi umemkosha na kumkuna panapo na wapi umemboa ili ujifunze hakunaaliyezaliwa akijua na pia sio rahisi kujua mwenzio apenda nini na kitendo chakumpongeza kitasidia kumpa ujasiri wa kufanya vizuri zaid na kamwe huwezi kukuachacos anapata kile roho yapenda ila angalizo mwambie mtu anayejitambua vinginevyounaweza kuharibu kabisa mapenz yenu kwa kuonekana wewe Malaya au kumfanya alewesifa na aanze kuwa muhuni
Unanikumbusha gemu moja nilikutana na mbulu kila nikipiga anadai hajatosheka,namchezea napiga hajatosheka hiyo ni saa nane usiku natamani kukuche nikimbie chumba hicho,nguvu ziliniishia nilipiga goli nne mmtoto hajatosheka nilitoka nikiwa mwepesi napepesuka chumbani ikabidi nijishike na ukuta nisianguke nikaagiza pepsi kupata nguvu geto nikalala mpaka usiku nikasema sirudiii kutongoza mbulu.
Unanikumbusha gemu moja nilikutana na mbulu kila nikipiga anadai hajatosheka,namchezea napiga hajatosheka hiyo ni saa nane usiku natamani kukuche nikimbie chumba hicho,nguvu ziliniishia nilipiga goli nne mmtoto hajatosheka nilitoka nikiwa mwepesi napepesuka chumbani ikabidi nijishike na ukuta nisianguke nikaagiza pepsi kupata nguvu geto nikalala mpaka usiku nikasema sirudiii kutongoza mbulu.
Bantu lady, hivi unajua kuna wadada wamehaha kubadilisha wanaume kama nguo za ndani ili wafikishwe ila hawakupata wanachotaka? Trust me, kuna wanawake hawafiki kileleni hata wafanyiwe nini.
Issue ni skills... unaweza kupiga laini laini ila kwa technique! Tatizo wanaume wengine wamezoea kutwanga maana akipanda utasikia mpaka kitanda kinalalamika... kuna wanawake wengine hawapendi kutwangwa hivyo mpaka k inataka kutoka cheche kwa friction!
Naunga mkono hojaTatizo wasichana wengi ni waoga kuongea ukweli mbele ya bf wao...Ndiyo maana baadhi yetu huwa tunatumia uwezo wetu binafsi kuelewa matatizo yao.! Wengi wao huishia kwenda kupiga soga kwa mashoga zao kuhusu karaha wanazopata kutoka kwa bf wao