blackstone
Senior Member
- Aug 11, 2015
- 147
- 128
Dah,, mwanangu kumbe una roho ya kijasusiNi kweli.
Nilikuwa hivyo ila siku hizi nimejifunza saana.
Kuna mshkaj mmoja alikuja kwenye biashara yangu akaniambia nimkopeshe kwani anashida saana . Nikaona isiwe kesi nikampa.
Jamaa huwezi amini alinikaushia toka siku hiyo kama vile hanifahamu hata salamu hamna. Juzi natoka sehemu na pikipiki nipo mwenyewe nikamkuta kaingia mtaroni na kirikuu chake na mahindi aliyobeba yamemwakika. Akaniomba nikamchukue fundi aje amtengenezee kirikuu chake.
Waziwazi nikamwambia siendi Bora ufie hapa.
mkuu ukiwekewa wa mee na wewe unakaza. kiree kiree . ila ukiweka yechu kwa fasi basi inakuwa yechuyechuDah,, mwanangu kumbe una roho ya kijasusi
Duh!Ni kweli.
Nilikuwa hivyo ila siku hizi nimejifunza saana.
Kuna mshkaj mmoja alikuja kwenye biashara yangu akaniambia nimkopeshe kwani anashida saana . Nikaona isiwe kesi nikampa.
Jamaa huwezi amini alinikaushia toka siku hiyo kama vile hanifahamu hata salamu hamna. Juzi natoka sehemu na pikipiki nipo mwenyewe nikamkuta kaingia mtaroni na kirikuu chake na mahindi aliyobeba yamemwakika. Akaniomba nikamchukue fundi aje amtengenezee kirikuu chake.
Waziwazi nikamwambia siendi Bora ufie hapa.
Inaenda hiviDuh!
Laivu mwanangu, masela wengine wacki, so dawa yao ni ku do the same OVAmkuu ukiwekewa wa mee na wewe unakaza. kiree kiree . ila ukiweka yechu kwa fasi basi inakuwa yechuyechu
Wakuu
Huu ni ujumbe mweusi kutoka nchi ya watu weusi
Ukiwa mwema kwa kila mtu unatengeneza njia ya kila mmoja kukukimbia unapopata tatizo kwani watakuwa wanafata wema ulionao nakusahau kuwa na wao pia wanatakiwa kukutendea wema.Weka mipaka
Wako mtukufu Amiri jeshi mkuu wa mawe yote duniani ila siyo walilokataa waashi jiwe jeusi (blackstone)