maisha ni magumu
na yamejaa changamoto nyingi zisizotarajiwa
hata hivyo, unapaswa kujiuliza mambo yafuatayo:
kiasi gani cha mawazo na mvutano wa kifikra
unajisababisha bila sababu
kwa kujenga dhana
na kujikumbushia hofu na maumivu yaliyopita akilini
mwako?
ni mara ngapi unakataa kuachilia mambo kisa mazoea hata pale ambapo yanaapobadilika?
ni kiasi gani huwa unajilazimisha kufanya kitu tofauti kutokana na msukosuko na mvutano katika maisha yako ?