Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
π Usikate tamaa kwa changamoto unazopitia, aisee hakuna kitu kizuri kinachokuja bila changamoto ata masika uja baada ya kiangazi kuzidi.π
π Mtu anayekupenda hatokuacha kwa tabia zako ila atakuacha kama tabia zako zitakuwa mazoea kwake.
π Jiulize kwanini umalaya unaongezeka nikutokana na kukata tamaa kwa mtu ambaye uko nae kuona kama hakuelewi.
- Kuchepuka sio njia sahihi ya kumfunza mwenza wako.
π Utaendelea kuumia maishani mwako yote kama wewe ni wa kupenda na kuacha maana ipo siku utamuacha mtu sahihi kwako. Wanafunzi tunatofautiana uelewa kuna wanaoelewa haraka na wanaoelewa taaratibu.
πMwanamke ndio mwalimu pekee kwa mwanaume wake, maana mwanamke ukimpa kipaumbele atakujuza mengi kwahiyo utajua ufanye kipi na uache kipi. π
Asante kwa muda wako kwa kusoma.
π Mtu anayekupenda hatokuacha kwa tabia zako ila atakuacha kama tabia zako zitakuwa mazoea kwake.
π Jiulize kwanini umalaya unaongezeka nikutokana na kukata tamaa kwa mtu ambaye uko nae kuona kama hakuelewi.
- Kuchepuka sio njia sahihi ya kumfunza mwenza wako.
π Utaendelea kuumia maishani mwako yote kama wewe ni wa kupenda na kuacha maana ipo siku utamuacha mtu sahihi kwako. Wanafunzi tunatofautiana uelewa kuna wanaoelewa haraka na wanaoelewa taaratibu.
πMwanamke ndio mwalimu pekee kwa mwanaume wake, maana mwanamke ukimpa kipaumbele atakujuza mengi kwahiyo utajua ufanye kipi na uache kipi. π
Asante kwa muda wako kwa kusoma.