Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
📌 Usikate tamaa kwa changamoto unazopitia, aisee hakuna kitu kizuri kinachokuja bila changamoto ata masika uja baada ya kiangazi kuzidi.😂
📌 Mtu anayekupenda hatokuacha kwa tabia zako ila atakuacha kama tabia zako zitakuwa mazoea kwake.
📌 Jiulize kwanini umalaya unaongezeka nikutokana na kukata tamaa kwa mtu ambaye uko nae kuona kama hakuelewi.
- Kuchepuka sio njia sahihi ya kumfunza mwenza wako.
📌 Utaendelea kuumia maishani mwako yote kama wewe ni wa kupenda na kuacha maana ipo siku utamuacha mtu sahihi kwako. Wanafunzi tunatofautiana uelewa kuna wanaoelewa haraka na wanaoelewa taaratibu.
📌Mwanamke ndio mwalimu pekee kwa mwanaume wake, maana mwanamke ukimpa kipaumbele atakujuza mengi kwahiyo utajua ufanye kipi na uache kipi. ðŸ˜
Asante kwa muda wako kwa kusoma.
📌 Mtu anayekupenda hatokuacha kwa tabia zako ila atakuacha kama tabia zako zitakuwa mazoea kwake.
📌 Jiulize kwanini umalaya unaongezeka nikutokana na kukata tamaa kwa mtu ambaye uko nae kuona kama hakuelewi.
- Kuchepuka sio njia sahihi ya kumfunza mwenza wako.
📌 Utaendelea kuumia maishani mwako yote kama wewe ni wa kupenda na kuacha maana ipo siku utamuacha mtu sahihi kwako. Wanafunzi tunatofautiana uelewa kuna wanaoelewa haraka na wanaoelewa taaratibu.
📌Mwanamke ndio mwalimu pekee kwa mwanaume wake, maana mwanamke ukimpa kipaumbele atakujuza mengi kwahiyo utajua ufanye kipi na uache kipi. ðŸ˜
Asante kwa muda wako kwa kusoma.