mr katundu
Member
- May 26, 2023
- 16
- 11
Ukimaliza Apo AZUMA ndo rafki ako. Wa ukubwan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaKaka usikimbilie kuichomoa baada ya kukojoa iache iheme ndani kwa ndani kwa dakika kadhaa.
Kuna wanakati mwanamke hulazimika kukung'ang'ania au ukitaka kuchanyuka anakushika huwa anapata raha zikiwa zinadondoka zile za mwisho mwisho na akiwa anaumbana uume kwa misuli ya uke wake.
Kaka kuchochoa papo kwa papo unaumiza misuli ya uke wa mwanamke na uume wako maana huwa bado unatanuka na kusinyaa. (Unadhoofisha misuli yako bila kujua)
Ndio maana uume ukiwa ndani unakuwa kama unakamuliwa, huo ni uke unabana uume uwe sawa.
Huwa ni rahisi hata kuunganisha route ukiwa kwenye hali hiyo ndani kwa ndani (bado huwa wa moto).
Goodmorning Ladies and Gentlemen.
HahahaWengine hawatumii uke mkuu, ( kambale) pia nao waiache hukohuko ikiwa inahema hema? Be serious
Chanzo cha magonjwa ya zinaa,ukishakojoa chomoka fasta nenda bafuni kojoa mkojo wa kawaida ioshe kwa maji tiririka
hahahahaha