Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naunga mkono hoja hii
Hapo kanivuruga kishenzi ila nimeona tu nikaushe nisionekane mjuaji ina maana hpo ofisini tukiachana na hyo PhD aliuoikosa degree yke na masters hazifiti kitengo chochote hadi akasomee udereva veta? Na kitu kingine anasema mwaka wa 7 jamaa karudi ina maana kakaa kule mwaka wa 7 karudi bila PhD nisaidieni wasomi kwani PhD inachukua miaka mingapi?So watu wote mmeshindwa kujadili ni kivipi mtu aliyeenda kusomea PHD (which means ana Master) ghafla akasomee udereva VETA?
Inawezekana amepewa adhabu kwa kutumia vibaya muda wa muajiri, kuhusu muda inawezekana alikuwa hakamilishi kivuko/alikuwa wa kufeli feliHapo kanivuruga kishenzi ila nimeona tu nikaushe nisionekane mjuaji ina maana hpo ofisini tukiachana na hyo PhD aliuoikosa degree yke na masters hazifiti kitengo chochote hadi akasomee udereva veta? Na kitu kingine anasema mwaka wa 7 jamaa karudi ina maana kakaa kule mwaka wa 7 karudi bila PhD nisaidieni wasomi kwani PhD inachukua miaka mingapi?
Ila ni lazima kupiga nyeto si ndivyo..?😂Sio lazima kuoa
Ila ni lazima kupiga nyeto si ndivyo..?[emoji23]
So watu wote mmeshindwa kujadili ni kivipi mtu aliyeenda kusomea PHD (which means ana Master) ghafla akasomee udereva VETA?
Then kenge kabisa we.. 😅Ewaaa