Usikimbilie kuoa, utajuta

Umemaliza mkuu
 
Halafu unakuja kuanika watu hapa tena kwa kutoa codes zote. Huna adabu kabisa wewe kijana. na je kufeli kwa huyo mtu unakuunganisha vipi na mkewe uenda jamaa alikuwa ni kilaza wewe unakuja kuhukumu humu. Mbona kuna watu wanaenda kusoma bila kuwa na wake na hawapati hizo PhD? usi-generalize vitu we mfanyakazi wa SUA
 
Usiwatishe vijana, oeni milango ya mafanikio ifunguke.
 
Okay. Tuma salamu
 

Haieleweki kaa tuliza kichwa uandike
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…